Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,492
- 92,995
Porojo huwa hazikosekani, hata hao Kenya usemaga Mlima Kilimanjaro upo kwao, na Olduvai gorge ipo kwao pia.Wanamlindaje mkuu?mbona hujielewi?kwa hiyo na urais huu wamempa wao?basi nchi yetu haina vyombo vya ulinzi na usalama.
Hizi zote ni porojo tu sawa na hiyo porojo.
Majeshi ya Tanzania yakiamuwa kuifuta Rwanda kwenye ramani ya dunia ni wiko moja tu inatosha.
Ujuwe humu JF hatuko Watanzania tupu na watu wa nchi za jirani tuko nao, kwahiyo propaganda uchwara kama hizo usizishangae.