ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,749
Huyu jamaa ni Bahima kabisa
Bahima ni mipaka tu, ni part of Tanzania.
Huyu jamaa ni Bahima kabisa
Mnafiki baba yako, pimbi mlemavuTulia wewe dawa ikuingie mnafik tuu
Hii sekta ya madini inaweza ikaajiri vijana wote zaidi ya 60%.Inatakiwa serikali iandae mitaala ya uchimbaji madini toka elimu ya msingi,KILA mkoa kuna madini yanaoza tu wageni ndo unufaika nayo
Watawala uogopa kuongoza watu walioshibaElimu yote kwa vijana iwajenge Wanawake, Wanaume kujiajiri.
Kutumia na kuwapa rasilimali karibu na mipaka yao kupambana, kuyathibiti na kufanikiwa kimaisha.
Haiwezekani uzungukwe migodi yote muhimu Duniani uendelee kuwa Maskini wa kutupwa. Watu
mhhh... humu tuna vichaa sio bure...Mwendakuzimu ni shetani na Mungu amlaani na ikimpendeza afe mara ya pili huko kuzimu.
Yatima kama umekereka jamba.
mhhh... humu tuna vichaa sio bure...
Lema amekuwa mswahili swahili utafikiri anaishi Tandale.Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.
Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.
Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.
Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.
Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.
Pole Biteko, Ila kwa heri.
Ni hatari sana.Haha, wengi tu. Sasa mtu kama huyu umpe uongozi. Fikiria nchi itawakuwaje,
Watanzania tuna imani na SSH. Huo ndo ukweli. Hutaki unaacha. Nchi iliendeshwa kihunu sana awamu ya 5. Maofisini mzinza, msukuma au mnyamwezi hata kama alikuwa mtunza masijala alipewa ukuu Wa idara so long ni wa Kanda Ile. Shenzi Sasa tuheshimiane mjini.Biteko ataendela kuwepo sana tu! Yaani Huyu mama kama atakurupuka tena kama alivokurupuka kumtoa Kalemani nishati shauri yake! Watu wanachuki na Magufuli na watu wake! Inamaan waziri haruhusiwi kufanya biashara ya madini!
Ndo maana mnaambulia kutoa mawaziri kwa mihemuko ma chuki mnaweka mazuzu! Hivi suala hata la umeme nchi nzima athari yake ni kubwa sana!
Amiiina Amina.Sijui walimpate wizara vyeti mtusi kabisa huyu yaan nchi hii walipewa wageni ilaaniwe awamu ya tano
Ni hatari sana.p
Lema amekuwa mswahili swahili utafikiri anaishi Tandale.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Watanzania tuna imani na SSH. Huo ndo ukweli. Hutaki unaacha. Nchi iliendeshwa kihunu sana awamu ya 5. Maofisini mzinza, msukuma au mnyamwezi hata kama alikuwa mtunza masijala alipewa ukuu Wa idara so long ni wa Kanda Ile. Shenzi Sasa tuheshimiane mjini.
Fine ....as long she is healing the nation, not bad.Alikuwa sehemu ya nchi kuendeshwa kihuni. Kupata Madaraka.
Anatakiwa kupunguza u much knowYoko vizuri sana kimawazo.
Asome kidogo Philiosophy, Politics, Economy (PPE).
Watanzania wataangalia tutaampa nafasi gani ya juu.
Fine ....as long she is healing the nation, not bad.