KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,482
- 2,272
Utakuwa na walakini kwenye kipumulio chako kisichokuwa na meno. Unazusha ujinga usio na chembe ya ukweli. Kwa TAARIFA yenu waliomo kwenye sekta ya madini hasa wachimbaji wadogo wanampenda sana Doto. Ametatua shida zao nyingi mno. Wafanye tu hayo maamuzi lakini matokeo yake yanaweza kuwa Hasi vibaya mno.Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.
Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.
Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI