Godbless Lema amtakia safari njema Dotto Biteko Wizara ya Madini

Biteko na Mnyeti walikuwa wana miliki njia za chini kwa chini za kuvusha madini kule Mererani ili kukwepa surveillance ya ukuta.

Hata kipindi Magufuli amekufa lakini hajatangazwa wao ndiyo walikuwa wanataka kujimilikisha kitalu C pale Mererani.

Wamechelewa sana kumtoa UWAZIRI
Utakuwa na walakini kwenye kipumulio chako kisichokuwa na meno. Unazusha ujinga usio na chembe ya ukweli. Kwa TAARIFA yenu waliomo kwenye sekta ya madini hasa wachimbaji wadogo wanampenda sana Doto. Ametatua shida zao nyingi mno. Wafanye tu hayo maamuzi lakini matokeo yake yanaweza kuwa Hasi vibaya mno.
 
Utakuwa na walakini kwenye kipumulio chako kisichokuwa na meno. Unazusha ujinga usio na chembe ya ukweli. Kwa TAARIFA yenu waliomo kwenye sekta ya madini hasa wachimbaji wadogo wanampenda sana Doto. Ametatua shida zao nyingi mno. Wafanye tu hayo maamuzi lakini matokeo yake yanaweza kuwa Hasi vibaya mno.
Kabisa kabisa. Waziri Biteko rekodi ya utendaji inambeba.
 
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

Hakuna kitu kibaya na cha laana kama ukabila aliouunda mwendazake.
Utawatafuna ccm na wasukuma wake
 
Nadhani dotto ni mtu pekee ambae anaiweza wizara hii.hakuna wizara isiyo na mapungufu .na ukiwa waziri sio kila kitu unafanya mwenyewe kuna vitu unakuwa upo na figure ya uwaziri husika ila mtu wa chini akiharibu anaeonekana m,baya ni kiongozi wa ngazi ya juu.Tanzania bila fitina haiwezekani.fitna ni kazi za watu zinazo wapa watu mtaji.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo akifa wizara itakuwa wazi mpaka afufuke Dotto tena ?
 
Wewe mpumbavu unaunafiki mwingi sana! Hao mnaowasema akina Zungu si wanaasili ya kiarabu na Bashe anaasili ya Kisomali hii nchi sio henu niyawote! Huo wizi wa Tanzanite ni uzembe uliosababishwa na utawala wa huyu mamayenu! Unafikiri waziri awe anakaa getini analinda watu wasiibe! Tena nyinyi watu wa kaskazini ni majambazi sana mmeona utawala wa mama mnaiba Tanzanite halafu mnapeleka lawama kwa waziri! Tunajua mnachuki sana na watu wa kanda ya ziwa!
Hawana chuki na watu wa kanda ya ziwa SEMA wana chuki na wasukuma na genge lao.

We ulitaka mama akawe korokoroni?
Huyo Doto ndo awe anampangia mama kazi?
sukuma Gang kwishney kichaa wenu hayupo punguani ninyi
 
Biteko ataendela kuwepo sana tu! Yaani Huyu mama kama atakurupuka tena kama alivokurupuka kumtoa Kalemani nishati shauri yake! Watu wanachuki na Magufuli na watu wake! Inamaan waziri haruhusiwi kufanya biashara ya madini!

Ndo maana mnaambulia kutoa mawaziri kwa mihemuko ma chuki mnaweka mazuzu! Hivi suala hata la umeme nchi nzima athari yake ni kubwa sana!
Kichaa wenu mwendazake mbona alitoa mawaziri wote akapachika wasukuma hamkusema
 
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

yaani aliyeyaingiza haya majamaa kwenye utawala aisee, hata sijui kwanini aliruhusu hili.
 
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

Huyu ni mnyarwanda

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Muhongo time!
🎯 🎯 🎯
1f44a.png
 
Huyu Lema ni mungu wa kichagga?
maana kila kifo na anguko liko mikononi mwake.
Na alaaniwe sana huyu muuaji na messenger wake . Tunasubiri huyu lema kama hazikwi na haozi
 
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

Mama anajalibu kuwatuliza wenye kelele. Ni kweli Biteko ni mpiga dili sana. Kuna haja akakaa pembeni.

Mpiga kelele kwa sasa amebakia m1 tu kutoka millet bila shaka atakumbukwa katika nafasi hiyo.
 
Aliyekua mbunge machachari na mwanasiasa mwenye maono Godbless Lema amemtakia safari njema Dotto Biteko.

Lema ni moja watu wenye maono makubwa sana kwenye nchi hii, binafsi ninamkubali sana Lema hasa pale alipoamua kulivingirisha jiwe.

Lema amemwambia Dotto Biteko kuwa zamu yako imefika, wewe unafikiri ni kijana wao? Hivyo huenda yale ya Tanzanite kuibiwa ikawa namna ya sababu.

Hata hivyo Biteko sikuona Kama ni mtendaji mzuri kihivyo.

Sijui nani atarithi hii nafasi ya Biteko, au labda mrithi anaweza kutoka mtama.

Pole Biteko, Ila kwa heri.

Ni afisa kipenyo huyu,,, amejificha kwenye unabii
 
Back
Top Bottom