Mbunge wa arusha mjini na waziri kivuli wa mambo ya ndani akiwa ameambana na mbunge wa vitimaalum chadema ester matiku leo walitembelea tarime kwenye yale mauaji ila kabla hawajaenda huko walienda kwanye ofisi za mbunge wa jimbo hilo na kuwachwa mdomo wazi pale mbunge wajimbo hilo na watendaji wake walipo kimbia ndipo lema na matiku wakaamua kwenda kwa mkuu wa wilaya napo huko walikutana na vizingiti
ila lema akamlazimisha mkuu huyo wa wilaya kumpa taarifa za awali ndipo mkuu huyo alipo ropoka na kusema hawa wananchi ni wajinga sana walistahili kuuwawa na lema akamjibu nashukuru sana hii itakuwa nimoja ya taarifa zangu.
lema na msafara wake ukawa unaelekea kwenye eneo la mauaji ndipo wakakutana na kundi kubwa la wananchi watarime wakamzuia lema na kusababisha umati mkubwa sana na wakamlazimisha lema kuhutubia ndipo lema alipo anzakuongea nao na baada ya hapo walimlazimisha lema kufanya maandamano ndipo lema alipo kataa kuepusha vurugu zaidi na hivyo lema akashindwa kuendelea na safari yake ya ukaguzi, kamanda LEMA alikuwa akitokea JIJINI MWANZA
Naikumbukwe pia LEMA ni waziri kivuli wa mambo ya ndani so alikuwa ameenda kutembelea eneo la tukio na ndipo alipo amua kufuata hizo taratibu kwa kumfuata mbunge wa jimbo hilo ili amueleze kilichotokea ndipo walipo ingia mitini .
SOURCE JF
ila lema akamlazimisha mkuu huyo wa wilaya kumpa taarifa za awali ndipo mkuu huyo alipo ropoka na kusema hawa wananchi ni wajinga sana walistahili kuuwawa na lema akamjibu nashukuru sana hii itakuwa nimoja ya taarifa zangu.
lema na msafara wake ukawa unaelekea kwenye eneo la mauaji ndipo wakakutana na kundi kubwa la wananchi watarime wakamzuia lema na kusababisha umati mkubwa sana na wakamlazimisha lema kuhutubia ndipo lema alipo anzakuongea nao na baada ya hapo walimlazimisha lema kufanya maandamano ndipo lema alipo kataa kuepusha vurugu zaidi na hivyo lema akashindwa kuendelea na safari yake ya ukaguzi, kamanda LEMA alikuwa akitokea JIJINI MWANZA
Naikumbukwe pia LEMA ni waziri kivuli wa mambo ya ndani so alikuwa ameenda kutembelea eneo la tukio na ndipo alipo amua kufuata hizo taratibu kwa kumfuata mbunge wa jimbo hilo ili amueleze kilichotokea ndipo walipo ingia mitini .
SOURCE JF