Kagashek ametoa kauli tata kuwa waliouwawa Tarime walikuwa wahalifu lakini serikali imetoa msaada wa mazishi. je serikali imeanza lini kuoa msaada kwa waharifu? Amepima kauli yake kweli au ndio sias za Tanzania?
kinachomsumbua kagasheki na serikali yake ni hofu na woga dhidi ya chadema ambacho kinatikisa nchi nzima.
Kagashek ametoa kauli tata kuwa waliouwawa Tarime walikuwa wahalifu lakini serikali imetoa msaada wa mazishi. je serikali imeanza lini kuoa msaada kwa waharifu? Amepima kauli yake kweli au ndio sias za Tanzania?
We ambae hujakurupuka Tuambie Katiba inasemaje kuhusiana na Jeshi la Polisi kuwapiga Risasi nakuwaua Wananchi wa5 wa Nyamongo huko Tarime.Mkuu mbona unakurupuka, hapo kwenye red ebu tuambie Katiba ya Tanzania inasemaje kuhusu hicho cheo ulichokitaja
Hapo kwenye red, saizi Tanzania ingekuwa kama Somalia, Lema Hamna kitu wewe ni Mbunge wa Arusha unakwenda Tarime kama nani? msitulete vita Tanzania:sorry:
viongozi wa hii nchi wanatumia chadema kama defensive mechanism yao-na wanataka kujitoa as if kulikuwa hakuna matatzo yoyote-ni uchochezi tu wa chadema-sijui kwa nini wanataka ku-fool jamii ya tz hivi-na wanataka kuichafua chadema ionekane kama chama chenye kuleta migogoro tu-kumbe sivyoMbunge wa arusha mjini na waziri kivuli wa mambo ya ndani akiwa ameambana na mbunge wa vitimaalum chadema ester matiku leo walitembelea tarime kwenye yale mauaji ila kabla hawajaenda huko walienda kwanye ofisi za mbunge wa jimbo hilo na kuwachwa mdomo wazi pale mbunge wajimbo hilo na watendaji wake walipo kimbia ndipo lema na matiku wakaamua kwenda kwa mkuu wa wilaya napo huko walikutana na vizingiti
ila lema akamlazimisha mkuu huyo wa wilaya kumpa taarifa za awali ndipo mkuu huyo alipo ropoka na kusema hawa wananchi ni wajinga sana walistahili kuuwawa na lema akamjibu nashukuru sana hii itakuwa nimoja ya taarifa zangu.
lema na msafara wake ukawa unaelekea kwenye eneo la mauaji ndipo wakakutana na kundi kubwa la wananchi watarime wakamzuia lema na kusababisha umati mkubwa sana na wakamlazimisha lema kuhutubia ndipo lema alipo anzakuongea nao na baada ya hapo walimlazimisha lema kufanya maandamano ndipo lema alipo kataa kuepusha vurugu zaidi na hivyo lema akashindwa kuendelea na safari yake ya ukaguzi, kamanda LEMA alikuwa akitokea JIJINI MWANZA
Naikumbukwe pia LEMA ni waziri kivuli wa mambo ya ndani so alikuwa ameenda kutembelea eneo la tukio na ndipo alipo amua kufuata hizo taratibu kwa kumfuata mbunge wa jimbo hilo ili amueleze kilichotokea ndipo walipo ingia mitini .
SOURCE JF
Kuna mtu jana alitahadharisha kuwa huenda serikali ika-mbrand Lema kuwa ndiye anayechochea hizi vurugu na kweli imekuw hivo...
Naibu waziri wa mambo ya ndani Balozi Kagasheki amesema kuna mbunge kutokea chama ulani na mkoa fulani yuko Tarime anachochea vurugu
MyTake...anamaanisha Mh. Lema wa Arusha ambaye yuko Tarime hivi sasa...
Source...TBC1
Naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi Mh Hamis Kagasheki amesisitiza kuwa mbunge wa Arusha mh Godbless Lema ndiye aliyekwenda kuchochea wananchi wa Tarime kuvamia mgodi wa Morth Mara. "nilisema jana na leo narudia tena, huyu mbunge ametoka mkoani kwake na kwenda kule kuchochea fujo. Hii haikubaliki" amesisitiza
source-tbc 1
Yeye Waziri yuko wapi sasa? Amekaidi amri ya JK eh?
Kama Kagasheki ameona Mheshimiwa Lema ana makosa kama anavyodai, angetulia akusanye ushahidi na ampeleke mahakamani..
Yeye Waziri yuko wapi sasa? Amekaidi amri ya JK eh?