sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,679
- 9,839
Watanzania wote tumepigwa na butwaa hii tabia mbaya ya kidikteta inayoota mizizi kwenye chama cha Chadema.
Baada ya kuwafunga midomo wanachama wa Chadema wasitoe maoni wala mawazo mbadala kwa kutishia kuwafukuza, kuwapa majina mabaya na kuwanyamazisha.
Sasa tunaona kiongozi wa Chadema mpya godbless Lema akijaribu kunyamazisha vyombo vya habari visitoe habari kuhusu kinachoendelea chadema.
Dunia nzima inajua chadema imepasuka vipande vikubwa viwili na watu wanataka kusikia kinachoendela.
Tunakataa huu udikteta unaoendelea ndani ya Chadema na wanataka kuuleta mpaka kwenye uhuru wa vyombo vya habari.
Godbless Lema nakuonya acha huu udikteta wenu ambao mnataka kutuletea kwenda hii nchi.