mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,397
Mimi mwenyewe UKAWA lakini kwa upande wa uhuru wa habari nimemmisi kweli mzee wa Msoga.. Jamaa alikuwa hana makuu na alikuwa mpole kweli.. Sasa huyu ngosha ni tatizo mkali harafu gharama ya maisha imepanda kweli kweli.. JK tumekumiss