God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

God reverence between The Glorious Quran and the Currently Partially Corrupted Bible

allah sio mungu wetu usitulazimishe!!!Huyo ni mungu wenu na MUDI katika hekaya zake za kiarabu!!!HATUWEZI KUSOMA HEKAYA ZA MUDI SABABU NI HADITHI ZA KUFIKIRIKA ZA KIARABU!!!!SISI MUNGU WETU NI YESU!!!


Yesu huyo ulimtoa wapi hata ukampa uungu ??? Mbona Yesu wa Biblia zote amekataa kuitwa Mungu ??
 
allah sio mungu wetu usitulazimishe!!!Huyo ni mungu wenu na MUDI katika hekaya zake za kiarabu!!!HATUWEZI KUSOMA HEKAYA ZA MUDI SABABU NI HADITHI ZA KUFIKIRIKA ZA KIARABU!!!!SISI MUNGU WETU NI YESU!!!
Mkuu mbona jaziba na matusi wakati mwenzenu ana wajibu kwa hoja bila kudhalilisha mtu yoyote, Mudi ni nani?.......kama huna point uwe msomaji tu huenda utajifunza jambo.
 
Ni cheo ambacho hakikuwepo kipindi cha Yusufu na Ibrahimu.

Lakini biblia bado imekitumia hiko cheo kipindu hiko.

Muhamad akaja kusahihisha.

Kwani unaweza kusema Daudi alikuwa Raisi wa wana waisrael??
Screenshot_20221230-211336_Chrome.jpg
 
allah sio mungu wetu usitulazimishe!!!Huyo ni mungu wenu na MUDI katika hekaya zake za kiarabu!!!HATUWEZI KUSOMA HEKAYA ZA MUDI SABABU NI HADITHI ZA KUFIKIRIKA ZA KIARABU!!!!SISI MUNGU WETU NI YESU!!!

Mwenzako kaiona njia ya haki

IMG-20221230-WA0017.jpg
 
Poleni sasa uislamu utabaki imara daima milele na milele
 
Kingine nilimuona Etoo kombe la dunia akiwa hajavaa barakashia,,msisahau kumfundisha umuhimu wake na msaada wake,,,pia kama alikuwa akila nyama yetu pendwa (kitimoto) aache kabisa,,aanze kula ngamia..
Uislamu si kuvaa kofia. Kula kiti moto ni ni kupotea njia kama kufanya makosa mengine. Kosa kubwa mbele ya Mungu ni kumshirikisha na kosa hilo hasamehe. Kaweka wazi. Moja ya kumshirikisha Mungu ni kumpa uungu kiumbe wa Mungu . Kwani Yesu ameumbwa na Mungu. Hakuna mahali alisema Mimi Yesu ni Mungu au alisema mniabudu mimi.
 
People who are blind always try to prove that they are better than somebody else. What an ego trip
 
Uislamu si kuvaa kofia. Kula kiti moto ni ni kupotea njia kama kufanya makosa mengine. Kosa kubwa mbele ya Mungu ni kumshirikisha na kosa hilo hasamehe. Kaweka wazi. Moja ya kumshirikisha Mungu ni kumpa uungu kiumbe wa Mungu . Kwani Yesu ameumbwa na Mungu. Hakuna mahali alisema Mimi Yesu ni Mungu au alisema mniabudu mimi.
Hio ya kumshirikisha Mungu ni mtazamo wako,,na uko sahihi kwa Imani Yako...Suala la Yesu ni mambo ya upande wa jirani na ninavyojua huwezi kuyapenda,, kuyaelewa hata kuyaamini...Na lolote unalolisema kuhusu Mungu ni juu ya Mungu wa waislam ASW...Na sio vinginevyo...Nimesisitiza Suala la barakashia kwa Etoo ili kumkinga na majini hasa wakati wa kuingia chooni,,,na pia inaweza kumsaidia kuwaepuka wanawake wenye tamaa hasa kutokana na jina lake maarufu,,,maana alipokuja hapa Dar es Salaam hakuweza kuishinda zinaa miaka kadhaa iliopita...japo Mimi ni mshabiki wake sitomkimbia maana pia namshabikia mbappe,,Yaya,,Benzema na Samir Nasri japo kapotea siku hizi,, yangu ni hayo machache..
 
Hio ya kumshirikisha Mungu ni mtazamo wako,,na uko sahihi kwa Imani Yako...Suala la Yesu ni mambo ya upande wa jirani na ninavyojua huwezi kuyapenda,, kuyaelewa hata kuyaamini...Na lolote unalolisema kuhusu Mungu ni juu ya Mungu wa waislam ASW...Na sio vinginevyo...Nimesisitiza Suala la barakashia kwa Etoo ili kumkinga na majini hasa wakati wa kuingia chooni,,,na pia inaweza kumsaidia kuwaepuka wanawake wenye tamaa hasa kutokana na jina lake maarufu,,,maana alipokuja hapa Dar es Salaam hakuweza kuishinda zinaa miaka kadhaa iliopita...japo Mimi ni mshabiki wake sitomkimbia maana pia namshabikia mbappe,,Yaya,,Benzema na Samir Nasri japo kapotea siku hizi,, yangu ni hayo machache..
Suala la Yesu kufanywa kuwa ni mungu ni kiburi tu cha kutokuubali ukweli. Hakuna kitabu chochote duniani kilichonukuliwa akitamka kuwa Yeye ni Mungu au alisema kuwa tumwabudu yeye.

Ukinipa ushahidi nitaanza kuwa mkristo hii leo direct bila kusubiri
 
Hio ya kumshirikisha Mungu ni mtazamo wako,,na uko sahihi kwa Imani Yako...Suala la Yesu ni mambo ya upande wa jirani na ninavyojua huwezi kuyapenda,, kuyaelewa hata kuyaamini...Na lolote unalolisema kuhusu Mungu ni juu ya Mungu wa waislam ASW...Na sio vinginevyo...Nimesisitiza Suala la barakashia kwa Etoo ili kumkinga na majini hasa wakati wa kuingia chooni,,,na pia inaweza kumsaidia kuwaepuka wanawake wenye tamaa hasa kutokana na jina lake maarufu,,,maana alipokuja hapa Dar es Salaam hakuweza kuishinda zinaa miaka kadhaa iliopita...japo Mimi ni mshabiki wake sitomkimbia maana pia namshabikia mbappe,,Yaya,,Benzema na Samir Nasri japo kapotea siku hizi,, yangu ni hayo machache..

Na mwengine huyu, wewe bakia na kiburi

Dutch football legend Clarence Seedorf converts to Islam
 
𝐈𝐬 𝐢𝐭 𝐧𝐨𝐭 𝐚𝐧 𝐢𝐧𝐬𝐮𝐥𝐭 𝐭𝐨 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐫𝐞𝐝𝐮𝐜𝐞 𝐆𝐨𝐝 𝐭𝐨 𝐦𝐚𝐧?
Yes it is an insult to reduce God to man but you have to understand the following;
1) Nowhere did God ever said that eating, drinking etc are the attributes of men only.
2) God in his majestic power can eat, drink but not as a necessity of his being
1. God comes out of a woman's belly (Matthew 1:18-25
Yes, God wanted part of his being to enter a woman's belly and therefore get on earth legally and fulfil his mission. According to the bible the earth is given to men for dominion.

And God said, Let us make man in our image, after our likeness: and let them have dominion over the fish of the sea, and over the fowl of the air, and over the cattle, and over all the earth, and over every creeping thing that creepeth upon the earth.
Genesis:1:26
The heaven, even the heavens, are the LORD's: but the earth hath he given to the children of men.
Psalm:115:16

3. God rests (Genesis 2:1-3)
The rest in this text does not mean that God was tired; rather, a cessation of work. The Hebrew words (Original text) used in these passages show that God was introducing a concept of sabbath to his people.

Hast thou not known? hast thou not heard, that the everlasting God, the LORD, the Creator of the ends of the earth, fainteth not, neither is weary? there is no searching of his understanding.
Isaiah:40:28


4. God is sleeping (Mark 4:38)
6. God is dying (1 Corinthian 15:3-4)

When on earth, Jesus had a physical body that could sleep and die. Everything that happened with his body was his perfect will and plan.
 
Hio ya kumshirikisha Mungu ni mtazamo wako,,na uko sahihi kwa Imani Yako...Suala la Yesu ni mambo ya upande wa jirani na ninavyojua huwezi kuyapenda,, kuyaelewa hata kuyaamini...Na lolote unalolisema kuhusu Mungu ni juu ya Mungu wa waislam ASW...Na sio vinginevyo...Nimesisitiza Suala la barakashia kwa Etoo ili kumkinga na majini hasa wakati wa kuingia chooni,,,na pia inaweza kumsaidia kuwaepuka wanawake wenye tamaa hasa kutokana na jina lake maarufu,,,maana alipokuja hapa Dar es Salaam hakuweza kuishinda zinaa miaka kadhaa iliopita...japo Mimi ni mshabiki wake sitomkimbia maana pia namshabikia mbappe,,Yaya,,Benzema na Samir Nasri japo kapotea siku hizi,, yangu ni hayo machache..
 
Suala la Yesu kufanywa kuwa ni mungu ni kiburi tu cha kutokuubali ukweli. Hakuna kitabu chochote duniani kilichonukuliwa akitamka kuwa Yeye ni Mungu au alisema kuwa tumwabudu yeye.

Ukinipa ushahidi nitaanza kuwa mkristo hii leo direct bila kusubiri
 
Suala la Yesu kufanywa kuwa ni mungu ni kiburi tu cha kutokuubali ukweli. Hakuna kitabu chochote duniani kilichonukuliwa akitamka kuwa Yeye ni Mungu au alisema kuwa tumwabudu yeye.

Ukinipa ushahidi nitaanza kuwa mkristo hii leo direct bila kusubiri
Uungu wa YESU KRISTO upo ila hutaweza kuulewa kwa sababu kitabu chako kimekwambia Mungu hakuzaa Wala hakuzaliwa na wewe hukufikiri huyo Mungu anaesemwa ni yupi? Maana ukitaka kufikiria vizuri lazima ujue kwamba Mungu sio mmoja kati ya waislam na wakristo.
 
Sawa ila Mimi naujua ukweli na ninajua uislam ni nini,,Seedorf hajataka kuujua uislam kabla hajauendea lakini angeenda na tahadhari ya kuujua kwanza asingeukubali,,,,na ukitaka kulijua hili Sasa hivi ndio atakuwa anaanza alifu. Yuko na walimu ndio wanamfundisha uislam ni nini,,ila yeye Hana knowledge yoyote..Ni kama mtu alieletewa mwanamke kijijini kamuoa ndio anaanza kumjua.Kumbe alitakiwa amjue kwanza.Same apply to Etoo.
 
Back
Top Bottom