chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,002
- 20,662
Kigamboni pazuri kwa wanaofikiria miaka kadhaa mbele, itakuwa eneo Bora sana miaka ijayo, pia daraja litakapokuwa free, patavuta watu zaidi, ni sehemu ambayo imepangwa.
Changamoto yake ni ufinyu wa barabara za lami, pia usafiri wa umma(daladala, bado haujakaa vizuri, zinafunga kazi mapema halafu ghali
Changamoto yake ni ufinyu wa barabara za lami, pia usafiri wa umma(daladala, bado haujakaa vizuri, zinafunga kazi mapema halafu ghali