Given Edward
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 850
- 202
Masaa machache yaliyopita, officials mabali mbali wa mpira wa miguu walikutana Zurich kupiga kura na kuamua iwapo utumizi wa technology kuamua kama mpira umevuka mstari utumie. Matokeo ya mkutano huo ni kwamba mfumo huo umeruhusiwa kutumika na utaanza kwenye michuano ya Kombe la Klabu Bingwa Dunia yitakayofanyika japan mwaka 2013.