Umewahi kuona mtu katoka manundu usoni kwa kichapo basi kaa mbali na farkhina shauri yako.
Hahahaha mwambie huyo mwenye mali mkali sana lol...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Last edited by a moderator:
Umewahi kuona mtu katoka manundu usoni kwa kichapo basi kaa mbali na farkhina shauri yako.
Hahahaha mwambie huyo mwenye mali mkali sana lol...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Haya shauri yako mi nshakualart siku hizi ukizidiwa unatumia kitu chenye ncha kali watakuufoo saro mie simoAlafu nnavyopendaga challenge mm... hapa ndo utanifanya niongeze nguvu
Haya shauri yako mi nshakualart siku hizi ukizidiwa unatumia kitu chenye ncha kali watakuufoo saro mie simo
We haya we wanasema mtoto akililia wembe mpeMwanajeshi haogopi risasi Ablessed
We haya we wanasema mtoto akililia wembe mpe
Naona unavyojipa moyo sasa huenda unaetaka kupambana nae ni nyani mzee pia.Ukiona nyani mzee jua amekwepa mishale mingi
Naona unavyojipa moyo sasa huenda unaetaka kupambana nae ni nyani mzee pia.
Nilipokuwa najifunza kurina, babu aliniambia ukikuta mzinga wenye nyuki wakali basi ujue ndo wenye asali tamu...
Sasa farkhina hebu tubonge kando...
Na wewe tafuta asali yako....cha mtu sumu shaurilo
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hahahahahahahaahah sasa unaungana nao yaani unaamini hiyo kitu.Kule kwenye uzi mwingne washasema ukitaka wako mwenyewe mchore...
Anafikiri zote ni asali zingine thumu shauri yakeNa wewe tafuta asali yako....cha mtu sumu shaurilo
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hahahahahahahaahah sasa unaungana nao yaani unaamini hiyo kitu.
Duh hii kali inamaana siku hizi ni wivufree eeeh. Mambo ya mujini hayo lolHaswaa... tunabanana humo humo...
Alaf wa peke yako peke yako wala si mtam cz hana changamoto
Duh hii kali inamaana siku hizi ni wivufree eeeh. Mambo ya mujini hayo lol
Hhahahahahahaahaha nilifikiri wewe ni wivufree nilitaka kushangaa manake wanasema mtenda hapendi kabisa kutendewa . Ni kama hao wanaosema eti ukitaka wako mchore nao hawako tayari kabisa kushare ila maneno ya jamvini tu wanasema sharing iko poa.Wee... mi ni wivuful
Mengine haya kijf jf zaidi
Hhahahahahahaahaha nilifikiri wewe ni wivufree nilitaka kushangaa manake wanasema mtenda hapendi kabisa kutendewa . Ni kama hao wanaosema eti ukitaka wako mchore nao hawako tayari kabisa kushare ila maneno ya jamvini tu wanasema sharing iko poa.
Hapa nachanganyikwa sasa wengine wanasema mwanume pesa sura na kibamia utavumiliwa,na wewe tena unasema mwanume shughuli kibamia na pesa utachapiwa mmmh! nimeshindwa nichukue lipi ili niwe mwanaume wa ukweli kwa mwanamkeMwanamme shughuli not pesa...
Alafu nnavyopendaga challenge mm... hapa ndo utanifanya niongeze nguvu
Hapa nachanganyikwa sasa wengine wanasema mwanume pesa sura na kibamia utavumiliwa,na wewe tena unasema mwanume shughuli kibamia na pesa utachapiwa mmmh! nimeshindwa nichukue lipi ili niwe mwanaume wa ukweli kwa mwanamke