Girls born in 1990

Wewe umeolewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]huujui uchungu wa mtoto wa kike kuchina nyumbani. Yaani wenzio wanaolewa wewe upo tu. Inachoma kama pasi.
Mimi nimeolewa ndiyo lakini hebu niwaulize swali wanaume hivi kama wanaochina ni wanawake na ninyi hamna shida yoyote kwanini ninyi ndiyo huwa mnayaongelea sana haya mambo kuliko wao wenyewe?

Ndiyo maana mimiks kawauliza kule juu why take panadol for someone else's headache? Ninyi si mnachelewa kuzeeka na kwamba mna uwezo wa kuoa hata wanawake wenye miaka 20 sasa mbona mnasumbuka na hawa wanawake wenye miaka 40? Achaneni nao kwani wanawahusu nini?
 
Ndiyo endelea kumkataa hivyo hivyo halafu mwisho wa siku mpotezee tafuta mwingine kwani kuna ugumu gani kufanya hivyo?
 
Tunatoa tahadhari. We jifariji tu.
We unadhani wanawake wote kipaumbele ni ndoa sio. Kiasi kwamba ubebe hadi wapuuzi wanaoshindwa kujielezea namba katoa wapi. Kama mwanaume anashindwa kujibu hilo swali maana ake
1. Hajiamini. Sasa ya kazi gani kuwa na mume wa hivo
2. Hana nia nzuri na wewe. Hawezi kuficha alipotoa namba kama anania njema. Period
 
Ndio dada zetu pia. Tunajisikia aibu pia dada zetu wanavyo vundia nyumbani.
 
ASANTE
 
Sio kazi sio biashara wakati nakukaribisha dinner nikutongoze? Unataka biashara gani? Mimi nikishajitambulisha inatosha. Mambo ya namba yako nimepata wapi, we unadhani nitakuwa nimeipata wapi? Damn
Ndio useme ulipoitoa sasa. Yani watu wasiojulikana wote hawa niende kinaonane na mtu nisiemfahamu kisa dinner. Dinner my foot...
 
Hatuoni ni swali gumu, ni swali la kipuuzi. Mpaka nakupigia unadhani nimekosea namba? We jua tu kuna mahali nimeipata, and on later days ntakwambia niliipata wapi?

Namba yangu umepata wapi? Kwani namba yako unayo wewe mwenyewe tu?
Ninayo mimi na watu wangu wa karibu. Sasa wewe sema ulipoitoa wapi. Hutaki kakojoe ulale. Wapo wanaokesea namba pia kwani hujawahi kuona au kusikia.
 
Ninayo mimi na watu wangu wa karibu. Sasa wewe sema ulipoitoa wapi. Hutaki kakojoe ulale. Wapo wanaokesea namba pia kwani hujawahi kuona au kusikia.

Hahahahaha akakojoe alale asubuhi yote hii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkazie mpaka aseme katoa wapi namba yako
 
Hahahahaha akakojoe alale asubuhi yote hii

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkazie mpaka aseme katoa wapi namba yako
Hahahahha 8*8 leo mpaumziko. Akakojoe tu alale hamna jinsi [emoji28][emoji28]
 
Hahahahhaha yani uipate tu hivi hivi ingekua hatari
 
Hakuna cha maringo ya kishamba wala nini kuuliza umetoa wapi number yangu ni haki yangu maana hiyo number ni ya kwangu na Nina haki ya kuchagua nani wa kuwasiliana naye. Kuna ambao tumeuliza sana hili swali na tumeolewa vizuri tu.

Huyo aliyeamua kukutongoza ni yeye,, haimaanishi akifanya hivyo ndiyo anawakilisha wanawake wote wenye 30. Hizo ni akili zake, habebi akili za wengine kwa hiyo msikariri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…