ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,922
- 3,912
Oohh kwahiyo ni kama wanawake ambao hawajaolewa? Vipi na wanaume ambao hajawaoa wanaitwaje?
Sijui!
Mimi nitajua mwanaume anaejielewa kutokana na standards zangu nilizoweka. Na wewe kwa mahitaji au standards zako, utajiwekea mwanamke gani anaejielewa.mwanamke anaejielewa yukoje na asiejielewa yukoje?
Hamfi ila mtakuwa mnangoja wastafu wa WWII waje wawaoe haa haa[emoji23][emoji23][emoji23]kwani tukifika 30 tutakufa?
Old cargos?? Mungu anakuona [emoji24]bro!! don’t take serious these old cargos they are bitter as fvck! you can observe it through their write ups
Kama huumii yanini kurusha vijembe mkuu?Kipi cha kuniuliza uchapwe wewe mimi nitumie saa ngapi hiyo..?
Kikubwa review yr lifestyle..
Bora umesema wewe Kaka angu.Ofcause Ni vizuri kuuliza/kuulizwa kwa sababu ya usalama wao na wako pia. Mim naona hilo swali haliusiani na umri kabisa[emoji3][emoji3] ni suala tu la kiusalama zaidi. Ni kujipanga tu namna ya kuweza kujibu.
Hilo swali mimi ndiyo nilitakiwa nikuulize wewe maana umesema sisi tumependa wenyewe kutumia hisia wakati Mungu katupa akili na huku unajua kuwa hata ninyi mnatumia akili hata ambapo panahitaji kutumia hisia ila hamzitumii wakati mmepewa sisi mbona hatuwalaumu kwa hilo?Ametupa ila tunazitumia ka usahihi.
Wewe si umepewa mikono mbona huitumii kutembelea ? Najua umenielewa.
Falling in love is sothing naturally, so dont use your current relationship to protect the enjoyment of starting new one and good enough love is not renewable for the same man and woman but one of them with another one. I here to take you back (renew) the feeling of loved again. [emoji39][emoji39]
Wapo wanawake wanaoolewa wanapohitaji na pia wapo wanaume wanaooa kwa kushinikizwaMwimbaji alisahau kutaja jina la madume ambaya hayajaoa. But man huoa anapohitaji na siyo hivyo kwa mwanamke nazani ndiyo maana wana special name yao.[emoji848][emoji848]
HayaUsijari, hilo ni jukumu langu la kujua nini kitakufaaa, get prepared, our travel is about to start. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jibu lako tu linaonyesha kuwa unakiona cha moto hapo ulipo hahahahaaaChamoto kipi?
Mimi nitajua mwanaume anaejielewa kutokana na standards zangu nilizoweka. Na wewe kwa mahitaji au standards zako, utajiwekea mwanamke gani anaejielewa.
You are **You mean also your strong women?. I am here stronger man to take you where you deserve.
Hilo swali mimi ndiyo nilitakiwa nikuulize wewe maana umesema sisi tumependa wenyewe kutumia hisia wakati Mungu katupa akili na huku unajua kuwa hata ninyi mnatumia akili hata ambapo panahitaji kutumia hisia ila hamzitumii wakati mmepewa sisi mbona hatuwalaumu kwa hilo?
Mbona hukuuliza mrembo ?
Ukweli uko pale pale.
You are **
Haya
Wapo wanawake wanaoolewa wanapohitaji na pia wapo wanaume wanaooa kwa kushinikizwa