Girls born in 1990

Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
 
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
 
Humu wanawake wote ni smart,wameolewa na wanaume wa maana na hata ambao hawajaolewa wana waume watarajiwa smart na wenye pesa. Wacha tukashike masikio waliokata tamaa kitaa
Kawashikeni salama
 
Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
Zama hizi sio za kuonana na mizimu yenye namba za simu.
Watu wanatekwa na wasiojulikana
Watu wanatekwa ndugu zao watoe hela
Watu wanabakwa
Watu wanatekwa wanapigwa picha za uchi
Halafu atokee mtu anashindwa kujielezea nianze kumsikiliza nionane nae?
 
Kuna siku nilipokea simu ya manzi mmoja ana sauti tamu mithili ya kinanda, alikuwa anamuulizia Arnold. Nikamweleza kistaarabu mimi siitwi Arnold, baadae nikaanza mapambano ya kutengeneza ukaribu bila mafanikio. Hakupokea simu zangu, wala hakujibu meseji zangu.

# wewe binti popote upo, ulinijeruhi hisia zangu japo kwa dkk tano.
 
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
Kuolewa sio kuamua.
Ingekua ni kuamua tu si tungeshaamua tuolewe?
Nyie mnataka kila mwanamke akae kwenye ndoa ili awafurahishie nyie wanaume aonekane na yeye ni bora.
Ndoa sio kwa ajili ya nyie muone fulani ana ndoa kumbe hana furaha.
Nyie endeleeni kuoa na sisi tukipata tunaowapenda tutaolewa nao.
Miaka 30 sio mwisho wa maisha wala kutongozwa.
 
Hawa wadada wenye 30 plus, wengine ni ndugu zetu na wengine ni watarajiwa wetu, huwa wana stress ni hakuna. Hapa watajifanya wapo bold, ila kiukweli wanaungulia ndani kwa ndani.

Hata sisi wanaume huwa tunapata tabu sana kutongoza manzi wa age hiyo kama ana mtu wake tayari na jamaa anaeleweka eleweka. Hata kama demu zamani alikuwaga ganda la ndizi.

Nishakutana nao kama watatu wana plan za kuzaa tu, maana washakata tamaa.

Kiukweli huo sio umri mzuri kwa mwanamke ambaye hana jamaa anayeeleweka.
 

Mwanaume aliyezubaa zubaa ndio yukoje?

pia kwanini nipite kwenye mlolongo wote huo na wakati lengo langu linafahamika kabisa ni nini?
 
Na bado nini sasa? Achaneni nao wanaozeeka oeni wanaopevuka kwani kuna mtu alishawahi kupigwa au kufungwa kwa kufanya hivyo? Mbona makelele mengi sana? Au na ninyi wanaume kinawauma hao wanawake wasipoolewa?
Ukiona mali inaozea nyumban lazima ikuume
 
Yaani wanawake wengi wanafanya vitu kuwaridhisha wanaume kuliko hata kumridhisha Mungu sasa imagine mtu anakubali hadi kutoa tigo ili tu amfurahishe mwanaume amuoe wakati akijua kabisa kuwa anamchukiza Mungu
Just imagine not living your best life to be someone's wife. And it doesn't happen. Kwasababu muoaji hana masharti mengi kama mganga wa kienyeji.
 

winks** judging from most of your comments here i doubt if you are in happy marriage! that’s marriage of yours must be hell on earth.. sio kwa comments zinazo asharia frustration na uchungu wa hali ya juu.
 
Kabisa yaani sijui kwanini kuna wanawake wanakubali kudanganyika hivyo daah
 
Jina la thread inabidi liwe NAMBA YANGU UMETOA WAPI maanake ndio kinachojadiliwa.
Watu tunaangalia content maana kuna watu wanaandikaga threads ambazo heading haziendanagi na content
 
Kwahiyo mnatushauri nini? Maana kuna wengine tuko above 30 na hatuna majamaa ya kueleweka.
Nyie kama zetu mnatushauri tufanyeje ili tuolewe tupunguze hizi stress na frustrations mnazotuona nazo?
Kusema kusikiliza mwanaume ilimradi mwanaume tumeshakataa semeni kingine
 
Mnapenda kuwashika masikio wanawake?
Humu wanawake wote ni smart,wameolewa na wanaume wa maana na hata ambao hawajaolewa wana waume watarajiwa smart na wenye pesa. Wacha tukashike masikio waliokata tamaa kitaa
 
Kuhakikisha usalama wangu, tena bora nijue tu kuwa kuna mtu wangu wa karibu kakupa ndiyo nitaweza hata kuongea na wewe ila ukianza kujikanyaga lazima nipate hofu mimi najuaje una nia gani na mimi?
Ukijua nilipotoa namba inakuongezea nini? Usipojua nilipotoa namba inapunguza nini?
 
Kama ambavyo wanaume wengi humu huwa mnapiga na kusepa au mnazalisha na kuacha hehe ila mie nilishasema hata wanawake wote JF waseme kuwa wana waume na watoto mimi hainihusu ili mradi ukweli wangu uko pale pale kuwa mimi nina mume na watoto basi sijui wengine wanaodanganya ili kuwafurahisha watu humu
Humu wengi mna ndoa imara, wasio na ndoa hawajaamua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…