Hapo swala siyo mwanaume kuwa na bikira ila swala ni wote wanaume na wanawake wajitunze sasa wanawake wakijitunza wanaume watakuwa wanafanya na kina nani? Halafu ni wapi pameandikwa kuwa mwenye bikira tu ndiyo anatakiwa ajitunze?Wee ndio unataka kusema sio mimi.
Kama mwanaume naye anabikra basi naye anahusika.
Ndio shida ya Mwanamke malaya hawezi kukaa bila kujilinganisha na Mwanaume.
Mwanamke malaya ni sawa na mwanaume shoga.
Wakati mwanamke malaya anajilinganisha na mwanaume. Naye Mwanaume shoga hujilinganisha na Mwanamke.
Mwanamke aliyeolewa bikra ambaye sio malaya kamwe hajilinganishi na Mwanaume.
Hivyo lolote unalofikiri ni sawa kwa muktadha wowote hapo.
Ukiona unasema mwanamke anajishaua ujue sio saizi yako. Kaa pembenisure man..unakuta kidada kiko 28+ afu kinajishaua kama kopo la chooni
We jamaa Mungu akurehem. Namuonea huruma huyo unaesema ni mkeo. I can imagine changamoto anazopitia. Kwako wewe mke mwema ni mwenye bikra.Mungu awajalie wanawake changamoto wanazopitia.
Wajifunze kuwa na hekima ya Muda.
Binafsi wadogo wangu wa kike nawaambiage kuwa akifika kidato cha sita(Miaka 18-19.) Wahakikishe wamepata wachumba wa uhakika.
Kingine nawaambia linda bikra kamwe huwezi chelewa kupata Mume.
Dada zangu wengi wanaolewa wakiwa na age 23-27. Mara baada yakumaliza chuo au kuwa kazini miaka isiyozidi Miwili.
Hata hivyo Kila mmoja ananjia ya maisha yake. Hivyo wengine siwahukumu japo wanahaja ya kwenda na muda
Umeguswa mfupa wa nyoga wewe..Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?
Utakuwa smartless Amera..Am 43 na bado nauliza.
Yaani kama vile rumewatuma! Pilipili usiyoila yakuwashia nini? Mnateseka na umri wetu kama vile mnatulisha ebo!!Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwani tukifika 30 tutakufa?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]kwani tukifika 30 tutakufa?
Lol, umeona kwa jicho la tatuItakua ushapata cha mbavu kutoka kwa mtu wa 1990
Hahahahaha mbavu zangu, Menostop lolNini menopause watu tumeshafika menostop na hatujaloose hope[emoji3]
Hapo swala siyo mwanaume kuwa na bikira ila swala ni wote wanaume na wanawake wajitunze sasa wanawake wakijitunza wanaume watakuwa wanafanya na kina nani? Halafu ni wapi pameandikwa kuwa mwenye bikira tu ndiyo anatakiwa ajitunze?
As far as I know vitabu vya dini vimekataza uzinzi na uasherati kwa jinsia zote mbili hakuna sehemu maandiko yamemkataza mwanamke halafu yamemruhusu? Si unafuata maandiko?
Basi naomba niletee andiko ambalo linamruhusu mwanaume kufanya uzinzi na uasherati kama lipo halafu nitaacha kuwaambia wanaume wajitunze tatizo mmalazimisha utofauti hadi kwenye dhambi
Mkuu wanaume na wanawake tunatofautiana sana tu ila inapokuja kwenye swala la dhambi hakuna cha mwanaume wala mwanamke wote sawa kama lipo andiko linalowatofautisha wanaume na wanawake hadi kwenye dhambi basi lilete hapa nalisubiri
Yani wewe ndio kiongozi wa mfume dume. Na hilo jina lako inaelekea una roho ngumu kama jina lako
Ni kwende wapi. Nipo hapa hapa. Ubaya wa roho chafu hakuna pa kuiosha hata tukutumbukize baharini utatoka na roho yako nyeusi.Kwendraaaaa!!
Yaani mpewe uhuru ndio mtufanye Mbwa bhana khaaah
[emoji23][emoji23][emoji23] huu msamiati niliupata kwa success, yaani nilicheka balaa. Ijumaa ile kabla ya hii iliyopita hukuangalia babe?Hahahahaha mbavu zangu, Menostop lol
Hamna mfupa wa nyonga wala wa bega. Mimi nina vipaumbele vyangu katika maisha siangalii miaka. First of...I don't look my age. Kitu kingine miaka ni nini kwani? Ni mentality flani tu ambayo ipo sijui nani aliieleta kwahiyo mimi siwezi kuumiza kichwa kwa mambo ambayo kwangu sio kipaumbele.Umeguswa mfupa wa nyoga wewe..
Ulitaka nihuzunike?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole mbibi jifariji tu
Yesu wangu..full MankaHamna mfupa wa nyonga wala wa bega. Mimi nina vipaumbele vyangu katika maisha siangalii miaka. First of...I don't look my age. Kitu kingine miaka ni nini kwani? Ni mentality flani tu ambayo ipo sijui nani aliieleta kwahiyo mimi siwezi kuumiza kichwa kwa mambo ambayo kwangu sio kipaumbele.
Na ukiniuliza umri wangu mpaka nitulie nivute kumbukumbu ndio niseme. Kwangu sio kitu kinachonifikirisha.
Mimi nafikiria nikikosa hela itakuaje sio nikikosa mume.
Watu wanazaa na bado zinaendelea kuliliwa sembuse za wa miaka 30 wabichi kabisaaZinazeeka