Ni hivi mdogo wangu, sisi wasichana japo si wote lakini tupo hivi, unaweza ukawa na mtu hata miaka 10 but that doenst mean you love that person, ila unakuwa nae tu kwa kuwa ndo anaekupenda kwa dhati na kuepusha hali ya kuwa mpweke alimradi na wewe uonekane una mtu kwasababu hujampata yule unaemtaka na hata ukimpata unaishia kuumizwa, kwahiyo tunajikuta tunagandana na wale ambao wako kama wewe ila mioyo yetu inakuwa kwingine kabisa na katika hali hiyo basi kamwe usitegemee kupata attention yoyote sana sana uwe tu unajiongeza wewe mwenyewe na usije ukashanga utakapoachwa siku atakapompata wa moyo wake