Girlfriend wangu simuelewi

Girlfriend wangu simuelewi

Grand PA

Mwenyewe anaona raha tunavyohangaika kucomment kwny thread yake, leo limeumbuka peupe
 
Last edited by a moderator:
sitaki kumuhukumu dada wa watu ila nahis kwako kuna tatzo, nahis tayar mshaanza kuishi kwa mazoea jaribu kua mbunifu sio kila siku baby i love you
 
Iko haja ya kuwafanyisha interview wanaotaka kuoana yaani kama hali ni hii hata bint akikubali maana yake ndoa haidumu!!!!

umeona eh....lakini watu wakuifanya hii kazi ni wazazi lakini wazazi wa kileo wahatimizi majukumu yao....
 
Mie sielewi lugha ulotumia hapa ila nahici unamaanisha gelofrend wako anakupenda kimapozimapozi? Huenda mko wawili.
 
miaka 6! khaaa! huyo si wako kama bado humuelewi...(natumai umeielewa msg yangu japo nimeandika kwa Kiswahili...kizungu sijui mie)hahahahaaaaa
 
six years n u realise that now??? Or has she changed recently????? If she has thn ther is smthng wrong somewhere, better seat wit her n tel her exactly how u feel,try to see where have u gone wrong, n correct ur mistakes pipo dnt jst change abruptly like dat there is always a reason for someone to change. Better solve it early coz ur goin to a lyf tym commitment (marriage)...........
 
Sasa attention gani utapata bila kumpa hela?

Mpe hela na mjazie salio hapo nakuhakikishia hadi utakereka na hizo I love U na msg zake nyingiiii za malavidavi***

No mullah No honey kaka!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom