kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,479
- 5,068
Gigi Money anasema alikuwa hamjui Albert Msando wala alikuwa hajawahi kumsikia, aliambiwa kuna mtu anakuhitaji anamiliki club basi akaenda akaspend nae time na walipokuwa garini akarekodi video kutupia kama anavyotupiaga picha za wengine anaotoka nao,kesho yake akaona video imekua gumzo
Yaani huyo demu mpuuz sana tatizo anapenda sana kiki . japo Albert naye kakosea kukubal kurecodiwa vile . mengine ni familia. Na marafik zake kuchukulia na kusamehee tu