Karibu na TBL Arusha....HIYO ZE DON IKO MAENEO GANI
barabara ipi ya NJIRO au ya wapiKaribu na TBL Arusha....
Huyo atakua yeye ndio alikua anapumuliwa na nyaga istoshe albert ni albert
Bora kula malaya kuliko kula vitoto vidogo kwa kigezo cha kuvifadhili kama Kapuya alivyofanya..Vipi ccm wao hawali malaya au wao waliwa
Hapana!!!Hawa wote ni watoto Wa msando
Basi jamaa kikongwe
Yaani mimi nawadhalilisha kuliko baba yao? Hizi picha zinasambaa whatsapp!aisee wewe uliyeiweka hii picha ya familia hapa umewadhalilisha sana hawa watu.
hebu fikiria mtoto anayesoma na huyo mtoto mdogo wa kiume akiona ataenda kumwambia nini huyu mtoto?
Kuna waheshimiwa tena above 60s ambao wanapenda threesome,foursome na orgy balaa. Watoto wa CBE,IRDP,UDOM,SJUIT & LGTI - Hombolo wanalijua hili. Kuna mlupo wangu enzi za 1999 alimblackmail mhe. mmoja kwa video ya foursome,akalamba 10 Mil by then,now yupo SA anafanya biashara zake huko.Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Ila huyu habadiliki. Hizi tabia yeye anaona sifa. Bado ana 'utoto'. Na mke nae asijidai kuumia maana anamjua huyu jamaa kwa hizi tabia kabla hajamuoa na ndani ya ndoa hili si la kwanza. Kama alitegemea kumbadilisha pole yake! Tunasema ALIYATAKA.ni sawa kweli sote tu binadamu na huwa tunakosea.
ila je msamaha huu unaoomba unaomba ili tu isemekane kwamba umeomba ama unamaanisha?
kwa mashabiki zao/followers kwenye page yako sidhan kama hata wana sabb ya kuombwa msamaha.
msamaha kamuombe kwanza Jack tena kwa kumaanisha, kisha umuombe na kido wako hao umewakosea sana na ndio watu wa inner circle yako. sisi wengine ni marafiki lkn we dont care what you do thats your life. ila kuna unaoshea maisha hao kawaangukie sana sana.
umewaumiza sana, hata uandikeje maumivu yake hayabebeki. nimewaza kama mke (not to u) na kama mtoto wako ambavyo anawaza sasa hivi.
jambo jingine hebu kaa na that lito boy try to learn kama kawa bullied kwa sabb ya hii video knowing mashulen yanayotokea ni zaidi ya mnavyofikir. usidharau hili. na ikiwa ndio try to make it right on spot. asiendelee kuumia zaidi.
gheeeee nimekujibu utafkir naongea na Betho mweeeh!!