Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

Status
Not open for further replies.
Kuna mtu asiyesaliti uhusiano wake? Ama hakuwah saliti? Aseme hapa kwa viapo vyake vya imani aape.
 
aisee wewe uliyeiweka hii picha ya familia hapa umewadhalilisha sana hawa watu.
hebu fikiria mtoto anayesoma na huyo mtoto mdogo wa kiume akiona ataenda kumwambia nini huyu mtoto?
Yaani mimi nawadhalilisha kuliko baba yao? Hizi picha zinasambaa whatsapp!
 
Mnamshangaa msando, siku ukibahatika Kuingia 84 au Maisha club Dodoma mbona utabaki mdomo wazi, Kuna waheshimiwa wanajua kubambia na kubahishia, utazani beberu.
Kuna waheshimiwa tena above 60s ambao wanapenda threesome,foursome na orgy balaa. Watoto wa CBE,IRDP,UDOM,SJUIT & LGTI - Hombolo wanalijua hili. Kuna mlupo wangu enzi za 1999 alimblackmail mhe. mmoja kwa video ya foursome,akalamba 10 Mil by then,now yupo SA anafanya biashara zake huko.
 
Msando kashaomba msamaha, binadamu tunateleza. Kurudia kosa ni kosa wakili msomi, ila sasa yameisha. Life inasonga chalii au sio. Kesho kama kawa weekend inaanzia The Don!
 
Unajua huyu gigy money anashindwa kuelewa kwamba hataishi maisha ya ujana milele. There comes a time in life you might wish to back in time to undo some stuffs you did in the past cause they might hunt you for the rest of your life. Watu kama kina sharon stone, nicole Kidman, Madonna ni moja ya watu wengi wanaojutia mapito yao ya ujana ukilinganisha na saivi ambapo wanaishi maisha ya familia. Imagine kina willow na jaden smith wakiperuzi internet na kukuta muvi kama ya Jason lyric aliyoact mama yao mpenda jadda pinkent smith enzi za ujana wake watajiskiaje? Vitu vingi tunavyovifanya ujanani vinA IMpact kubwa sana mbeleni. Namuomba sana mwwnyezi Mungu Pamoja na bata zote ninazokul mara moja moja, anipe hekIMA, weledi na maarifa nisifanye vitu vitavyohaunt mpKA uzao wangu. Ila fresh tu maana tuna kitu kinaitwa liberty, a freedom to live as u wish within the interests of the law kwaio sio mbaya mtu akautumia uhuru wake kufanya kile anachodhani ni sahihi bila kuingilia uhuru au matakwa ya wengine..
 
ni sawa kweli sote tu binadamu na huwa tunakosea.
ila je msamaha huu unaoomba unaomba ili tu isemekane kwamba umeomba ama unamaanisha?
kwa mashabiki zao/followers kwenye page yako sidhan kama hata wana sabb ya kuombwa msamaha.
msamaha kamuombe kwanza Jack tena kwa kumaanisha, kisha umuombe na kido wako hao umewakosea sana na ndio watu wa inner circle yako. sisi wengine ni marafiki lkn we dont care what you do thats your life. ila kuna unaoshea maisha hao kawaangukie sana sana.

umewaumiza sana, hata uandikeje maumivu yake hayabebeki. nimewaza kama mke (not to u) na kama mtoto wako ambavyo anawaza sasa hivi.

jambo jingine hebu kaa na that lito boy try to learn kama kawa bullied kwa sabb ya hii video knowing mashulen yanayotokea ni zaidi ya mnavyofikir. usidharau hili. na ikiwa ndio try to make it right on spot. asiendelee kuumia zaidi.

gheeeee nimekujibu utafkir naongea na Betho mweeeh!!
Ila huyu habadiliki. Hizi tabia yeye anaona sifa. Bado ana 'utoto'. Na mke nae asijidai kuumia maana anamjua huyu jamaa kwa hizi tabia kabla hajamuoa na ndani ya ndoa hili si la kwanza. Kama alitegemea kumbadilisha pole yake! Tunasema ALIYATAKA.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom