DC Msando adai atakata rufaa kuamriwa kulipa fidia ya 175M, asema mdai amemshtaki Msando badala ya kampuni yake

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,446
7,822
Mahakama Kuu iliwaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Albert Msando, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, yeye na mkewe ndio wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya jijini Arusha.

Hata hivyo, Msando amesema atakata rufaa hukumu ya Mahakama Kuu, akisema mawakili wake wako katika mchakato wa kupinga hukumu hiyo, akitoa sababu mbili.

“Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.

Pia, soma=> Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175
 
Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.
Aache longo longo alipe pesa ya Watu, tangu ahamie CCM amekuwa na akili za kitapeli sana
 
Mahakama Kuu iliwaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Albert Msando, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, yeye na mkewe ndio wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya jijini Arusha.

Hata hivyo, Msando amesema atakata rufaa hukumu ya Mahakama Kuu, akisema mawakili wake wako katika mchakato wa kupinga hukumu hiyo, akitoa sababu mbili.

“Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.

Pia, soma=> Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175
Kuna watu wana pesa, sio mchezo m175 Duh
 
Mahakama Kuu iliwaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Albert Msando, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, yeye na mkewe ndio wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya jijini Arusha.

Hata hivyo, Msando amesema atakata rufaa hukumu ya Mahakama Kuu, akisema mawakili wake wako katika mchakato wa kupinga hukumu hiyo, akitoa sababu mbili.

“Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.

Pia, soma=> Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175
Wezi wa CCM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama Kuu iliwaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Albert Msando, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, yeye na mkewe ndio wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya jijini Arusha.

Hata hivyo, Msando amesema atakata rufaa hukumu ya Mahakama Kuu, akisema mawakili wake wako katika mchakato wa kupinga hukumu hiyo, akitoa sababu mbili.

“Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.

Pia, soma=> Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175
Aache uhuni alipe pesa za watu, dhuruma sio nzuri.
 
Mahakama Kuu iliwaamuru wafanyabiashara Albert Msando na Jacquelene Msando, kumlipa mfanyabiashara Bahati Mgonja anayemiliki kampuni ya Y&H Mgonja Enterprises, Sh175 milioni kama fidia ya biashara ya vinywaji.

Albert Msando, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, yeye na mkewe ndio wamiliki wa klabu maarufu ya The Don’s Lounge ya jijini Arusha.

Hata hivyo, Msando amesema atakata rufaa hukumu ya Mahakama Kuu, akisema mawakili wake wako katika mchakato wa kupinga hukumu hiyo, akitoa sababu mbili.

“Tutakata rufaa kwa hukumu hiyo. Hoja yangu ya kwanza ni kwamba biashara inayolalamikiwa ni kati ya Y&H Mgonja Enterprises na The Don’s Group Tanzania, mimi ni mwanahisa na mkurugenzi, kwa hiyo biashara sijafanya mimi, bali The Don,” amesema.

Pia, soma=> Wakili Msando na mkewe wachemka mahakamani, waamuriwa kulipa fidia ya milioni 175
Anawaibia had sex workers huyo
 
Back
Top Bottom