. ... Hapo mtu wangu umenena maana unapopatwa na jambo jaribu kulifanyia uchunguzi ili upate solution kamili maana wewe mwenyewe ndo unaweza ukawa source ya tatizo linalokukumba.Inawezekana ktk vikao vyenu unakunywa za kwao na za kwako unajenga ndiyo maana wamekutenga, uwe una piga round ktk vikao vyenu
Ngoja niingie kweny jakuz nilegeze mwili wangu, haahaaha kabila gani vilee
Ama kweli nimeamini watanzania hatupendi kuona mtu akipiga hatua moja kwenda nyingine, tofauti na wenzetu hawa ngozi nyeupe ambao wao kupigana tafu ni mambo ya kawaida sana katika life cycle yao.
Nimeamua kuweka picha ya ghorofa langu ambalo lipo katika hatua za mwisho mwisho za ujenzi ili muweze kupata picha kamili ya hiki ninachokwenda kukisema.
kama mnavyoona ujenzi ndio unaendelea japokuwa umenigharimu kiasi kikubwa sana cha pesa ambacho ningeweza kununua hata semi za mchanga na mabasi ya mikoani.
Twende katika pointi baadhi ya marafiki na masheji zangu ambao nimewahi kuwapeleka katika site yangu naona kuna tofauti kubwa na hapo mwanzo.
Kwanza kabisa ukaribu umepungua hata vile vikao vya bia na kutoka pamoja kila siku za mwisho wa wiki naona kwishinea na nikijaribu kuwapigia na kuwauliza naona wanajiumauma wakikosa la kusema.
Nasubutu kusema kwamba wameingiwa na roho flani hivi ya wivu wa kimaendeleo,nikaona sio kesi nikamshirkisha na mke wangu kuhusu hili swala nae akasema mapokeo ni kama yangu.
Ni hayo tuu kwa leo nikaona kukaa kimya sio solution ni bora nikatoa dukuduku langu la moyo hata kama hao niliowasema kama wakipata nafasi ya kupitia huu uzi wajue kwamba nimewadharau kwa kiwango cha juu mnoo.
Usiku mwema wanajamvi wenzangu.
Ama kweli nimeamini watanzania hatupendi kuona mtu akipiga hatua moja kwenda nyingine, tofauti na wenzetu hawa ngozi nyeupe ambao wao kupigana tafu ni mambo ya kawaida sana katika life cycle yao.
Nimeamua kuweka picha ya ghorofa langu ambalo lipo katika hatua za mwisho mwisho za ujenzi ili muweze kupata picha kamili ya hiki ninachokwenda kukisema.
kama mnavyoona ujenzi ndio unaendelea japokuwa umenigharimu kiasi kikubwa sana cha pesa ambacho ningeweza kununua hata semi za mchanga na mabasi ya mikoani.
Twende katika pointi baadhi ya marafiki na masheji zangu ambao nimewahi kuwapeleka katika site yangu naona kuna tofauti kubwa na hapo mwanzo.
Kwanza kabisa ukaribu umepungua hata vile vikao vya bia na kutoka pamoja kila siku za mwisho wa wiki naona kwishinea na nikijaribu kuwapigia na kuwauliza naona wanajiumauma wakikosa la kusema.
Nasubutu kusema kwamba wameingiwa na roho flani hivi ya wivu wa kimaendeleo,nikaona sio kesi nikamshirkisha na mke wangu kuhusu hili swala nae akasema mapokeo ni kama yangu.
Ni hayo tuu kwa leo nikaona kukaa kimya sio solution ni bora nikatoa dukuduku langu la moyo hata kama hao niliowasema kama wakipata nafasi ya kupitia huu uzi wajue kwamba nimewadharau kwa kiwango cha juu mnoo.
Usiku mwema wanajamvi wenzangu.
Pole... kwa Wa Kishua utanuna sanaHehehe kwa hii stori samare uliyotoa hapa na mie nimeshanuna
Chezea toto la kishua acha kabisa,mimi nasubiri lile bonge la part ya mwanao! ndo lini vile?