baba plato
Member
- Aug 25, 2019
- 9
- 3
Kuna mahali nimekuta kunazoezi la upimaji waviwanja. Sasa kwa maelekezo ya wapimaji ni kwamba gharama za kupima, kuweka Bikon, pamoja na kupata hati miliki kwa kiwanja kimoja ni laki Moja na nusu (150000 Tsh/=). Hii ni lazina, no negotions na wananchi. .
Je ni sheria za nchi?
Naomba kujua
Je ni sheria za nchi?
Naomba kujua