sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,752
Nashukuru sana mkuu japo anuani yenyewe ndo bado sijaipata.Barua unaandika anwani ya kamishna wa uhamiaji ili akubali ombi lako
Nashukuru sana mkuu japo anuani yenyewe ndo bado sijaipata.Barua unaandika anwani ya kamishna wa uhamiaji ili akubali ombi lako
Nashukuru sana mkuu japo anuani yenyewe ndo bado sijaipata.
Be blessedIngia kwenye tovuti yao utaipata mi niliandikia pale dirishani unaeza kuacha ... Ukifika pale utaandika zile tarakimu
Address afisa uhamiaji wa hapo ulipoapply.. Eg afisa uhamiaji Dodoma anuani waulize anuani yaoPamoja na viambatanisho unatakiwa muombaji uandike barua ya kueleza kwa nn unahitaji hiyo passport. Ndo sasa nauliza naiadress kwa nani na anuani ipi?
Barikiwa mrembo GAddress afisa uhamiaji wa hapo ulipoapply.. Eg afisa uhamiaji Dodoma anuani waulize anuani yao
Ticket unaweza kukata bila visa siyo lazima uwe na visa ndo ukate ticket, ika ukiwa na barua ya mwaliko hiyo powakinachonishangaza barua ya waliko wanataka tiketi ya kwenda na kurudi ndio wakupe passport hiv kwa akili ntaweza kukata tiketi bila visa na naweza kupata visa bila passport ?
2. safar za kimasomo wanataka admission kwanza sasa jiulize utapata vipi admissionn bila passport namba ili wahakiki wewe ndio huyo, validity etc dah najiuliza sana hapa
Barua ya kuomba una iadress kwa kamishna mkuuPamoja na viambatanisho unatakiwa muombaji uandike barua ya kueleza kwa nn unahitaji hiyo passport. Ndo sasa nauliza naiadress kwa nani na anuani ipi?
Ni cheti cha baba au mama, na copy ya passport kama ipo,Mkuu hali ya kawaida unaijua wewe na hali yako. Wao wako kazini na hivyo vyeti ni mojawapo na viambatanishi vya wewe kupata hiyo pasipoti. Sasa wewe ifanye hii siasa.
Thanks broNi cheti cha baba au mama, na copy ya passport kama ipo,
Cheti cha muombaji.
Form inahitaji watu wa5 kujaza akiwemo muhusika wa6.
Wawili mashahidi na 3 wadhamini, hii sio big issue.
Picha 8 passport size kama sikosei au 5
Issues ipo kwenye cheti cha wazazi, kati ya hawa kama hawana passport au hawajawahi kuomba ni mtihani, u naweza kuambiwa file yako haonekani, mpaka u toe kifuta jasho process itaenda quick.
Walinipiga dola 100 sina hamuMkuu huijui hii Tz, kweli gharama yake ni 50,000,lakini huo mzunguko wake, utaamua kutafuta shortcuts tu, ambayo ndio gharama za ziada zinatumika. We wanakuambia uende kijijini alikozaliwa baba yako, atafute mtu aliyeshuhudia baba yako akizaliwa?!!!! mi nilichoka, ndio nikajiongeza siku 3 tu nikaipata. we unafikiria mtu anakwambia nimetumia laki 3,kupata passport anatania?? labda kama unaumwa hivyo unahitaji kwenda kutibiwa nje, ndio wanaweza kukuonea huruma, ila lazima upigwe nyundo hata buku 20 ya maji. ukiwa na pesa yako hata ndani ya masaa 2 unaipata tu.