sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,752
Ni mpaka aje pale ofisini ili kujaza hiyo affidavit? Au unawwza mchukulia akajaza hata nyumbani then ukai submit ofcn kwao?Pole sana. Watakua walikuona una sura ya hela! Katika vitu rahisi sana kupata nchi hii ni hati ya kusafiria.
Kuhusu affidavit ya baba yako...ndugu yako aliyemzidi umri baba yako angeenda kuijaza mara moja. Haichukui hata dakika thelathini.