Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
- Thread starter
- #141
Kama yalivyo majizi siku zote...hivi sasa Spika Ndugai eti naye taratibu aanza kumkana mwizi-in-chief mwendazake ambaye alibariki achote dola 12,000,000 eti kwa matibabu. Je hela zilizoporwa kwenye maduka ya kubadilishia fedha kwa mtutu wa bunduki ziliwekwa account gani na zilitumikaje?