Gharama za kutoa audio (bongoflava) zipoje?

Gharama za kutoa audio (bongoflava) zipoje?

Rutorial k

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2014
Posts
1,059
Reaction score
1,041
Natumai mkoa poa.naomba kujulishwa kwa anaefahamu,Kama mtu anataka kutoa singo anatakiwa kuwa na pesa kiasi gani? Pili studio ipi hapa dar ambayo ni Bora kabisa ambayo inaweza kumtoa underground Kama atakuwa tayari kurekodi wimbo...Asante
 
Audio..nilimanisha...anyway sio kesi sana
 
Natumai mkoa poa.naomba kujulishwa kwa anaefahamu,Kama mtu anataka kutoa singo anatakiwa kuwa na pesa kiasi gani? Pili studio ipi hapa dar ambayo ni Bora kabisa ambayo inaweza kumtoa underground Kama atakuwa tayari kurekodi wimbo...Asante
[emoji28] upo wap mkuu... Alafu studio inqkutoa vip kam hujui kuimba au na ww unatak kuwa kam hamorap kiki kibaoo
 
I
Adio ni bei kubwa sana bro
Mbona mnamind Mambo madogo madogo Sana...so Kuna asiekosea

[emoji28] upo wap mkuu... Alafu studio inqkutoa vip kam hujui kuimba au na ww unatak kuwa kam hamorap kiki kibaoo

[emoji28] upo wap mkuu... Alafu studio inqkutoa vip kam hujui kuimba au na ww unatak kuwa kam hamorap kiki kibaoo
Hahaha...apana sio hamorapa tunataka kujichanga nawana tujue itatugalimu kiasi gani
 
I
Mbona mnamind Mambo madogo madogo Sana...so Kuna asiekosea




Hahaha...apana sio hamorapa tunataka kujichanga nawana tujue itatugalimu kiasi gani
Kama una uwezo mzuri nitumie sms private, haiikisha umeambatanisha na kazi ambayo umewahi kuifanya kabla
 
Sio studio tu kuna gharama ya kuhonga ma dj wapige nyimbo redioni
 
Bei za studio zinatofautiana mkuu kuna laki 5,4, had za elf 50 zipo pia kuna studio kuanzia laki 7- 1M, studio haiwez kukutoa bt uwezo wako na unavoweza kujitangaza na mziki wako ndo vitavyokutoa
 
Kama una uwezo mzuri nitumie sms private, haiikisha umeambatanisha na kazi ambayo umewahi kuifanya kabla
Mkuu Mimi Nina shida na wewe najaribu kukupm naambiwa hadi nikufollow afu sijui jinsi ya kukufollow
 
Natumai mkoa poa.naomba kujulishwa kwa anaefahamu,Kama mtu anataka kutoa singo anatakiwa kuwa na pesa kiasi gani? Pili studio ipi hapa dar ambayo ni Bora kabisa ambayo inaweza kumtoa underground Kama atakuwa tayari kurekodi wimbo...Asante
Unaimba au unachana babulai?
 
Back
Top Bottom