Gharama za kukodi ndege

Gharama za kukodi ndege

Varbo

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,124
Reaction score
895
Habari I wana JF kama heading hapo ninapenda kujua gharama za kukodi ndege ndogo kwenda Zbar or any where mkoani. Kwa mnaofahamu gharama zikoje na makampuni gani ya natoa huduma hizo!

Naomba kujuzwa.
 
Habari I wana JF kama heading hapo ninapenda kujua gharama za kukodi ndege ndogo kwenda Zbar or any where mkoani. Kwa mnaofahamu gharama zikoje na makampuni gani ya natoa huduma hizo!

Naomba kujuzwa.
Mi sijui ila kidege kidogo roughly kina beba abiria 10.
So inategemea unakwenda wapi?
Let's say Arusha to Zanzibar kila kichwa laki mbili. Wewe unalipia siti zote. So milioni mbili cash kwa nini wasikuachie uwe alone uwe na washikaji up to you.
 
Back
Top Bottom