Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,269
Nafikiri umekosea 64,000! au 6,400/m?Mimi alinichimbia kwa 64000 kwa Mita 1,na hiyo ni kuchimba,setting,hadi pump...na nmechimba Mita 45
Nafikiri umekosea 64,000! au 6,400/m?Mimi alinichimbia kwa 64000 kwa Mita 1,na hiyo ni kuchimba,setting,hadi pump...na nmechimba Mita 45
Milima inaathiriWenzetu water table iko karibu sana naona, huku arusha maji unayapata mita 120- 180. Mpaka ufikie hatua ya kutumia maji uliyodrill imekugarimu mil38
Mita 1 ni 64000/Nafikiri umekosea 64,000! au 6,400/m?
Wanatumia nyenzo gani mkuuMita 1 ni 64000/
Wanatumia drilling machine.....Wanatumia nyenzo gani mkuu
Wapi huko mbona moshono kati ya thelathini na tano na arobaini nimepata maji.Wenzetu water table iko karibu sana naona, huku arusha maji unayapata mita 120- 180. Mpaka ufikie hatua ya kutumia maji uliyodrill imekugarimu mil38
Gharama za kuchimba kisima cha maji baridi
Ukiiona wanaficha bei jua kunacha juu ambae ni dalali, amka weweWEkeni bei nyie watu!!

NakaziaUkiiona wanaficha bei jua kunacha juu ambae ni dalali, amka wewe![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()