BAADA ya kuona kwamba kampuni za simu zinawadanganya wateja wake wananchi wa Ghana wameamua kuttotumia simu zao leo ili makampuni hayo yajirudi.
Simu zote za mkononi leo zinazimwa kwa masaa kadhaa kama adhabu kwa makampuni ya simu za mkononi Ghana ambazo pamoja na kutumia ujanja mbalimbali kuonesha kuwa wanawaletea wateja wake nafuu lakini zimekuwa zikiwanyonya ile mbaya.
Tanzania mpo ?
Simu zote za mkononi leo zinazimwa kwa masaa kadhaa kama adhabu kwa makampuni ya simu za mkononi Ghana ambazo pamoja na kutumia ujanja mbalimbali kuonesha kuwa wanawaletea wateja wake nafuu lakini zimekuwa zikiwanyonya ile mbaya.
Tanzania mpo ?