Vitalis Msungwite
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 3,318
- 7,984
- Thread starter
- #41
Zinatumika kulima tu na wakati wa kulima wengine hupanda na kufanya kazi ya kulima na kupanda lakini kupalia hazipalii, kwenye kilimo cha mpunga zinalima, kukata matuta na kuvuruga.
Barafu la moto
asante, je baada ya kulima unaweza kuzitumia kupandia na kupalilia?.
Barafu la moto