Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,302
- 4,682
Source haina kichwa wala miguu, BBC News - Home wamesema ni watu 32. Pls unapotoa taharifa hakikisha source yako ni ya uhakika, tuache mambo ya upuuzi kwenye janga la Taifa.
The gov.must step down.
we are tired of ur absurd staffs.
Taarifa ya BBC na TBC1 inalingana? TBC! wamesema 17, Waziri mkuu amesema 9,BBC 32 na Red cross 300, we unamwamini yupi? Acha kupost na wewe upupu, Jua kwamba Msalaba mwekundu ndio watu wanaoshiriki sana kwenye hili janga na afisa wao mmoja amekaliliwa akisema kuwa takribani watu 300 wamepoteza maisha yao, kwahiyo kama unabisha manake unabishana watu wa msalaba mwekundu. kwa mtizamo wako wewe unaweza mbishia daktari ukiambiwa mgonjwa wako amefariki.Poleni wahanga wa mabomu ya Gongo la mboto,serikali inataka kuficha idadi wa watu waliopoteza uhai wao, Wanaleta siasa hata kwenye maisha ya watu.
Acha kutisha watu mkuu!!Jamani mbona kama nasikia vitu vinalipuka tena?
source plse!!! vinginevyo utakuwa unarudia kosa lile lile la waliotoa idadi ya vifo kuwa ni yapata 20 (kwa mujibu wa Pm bungeni leo asubuhi).Ndugu wapendwa
kwa walio karibu na gongo la mboto wanaweza kwenda kwenye hospital na mdk waaminifu awafichi ukweli wengi wamekufa tofauti na serikali kuudanganya umma watu kumi tu .....,akika imefika wakati serikali ya tanzania kuwajibika kwa hili kama ni kuhujumiana basi wasituadhiri wananchi na kama mabomu yaliletwa yame expire kwa nini watu wasiwe responsible na hiili????
WEWE MTOTO WA MWINYI EMBU JIUZUL NAONA KAZI IMEKUSHINDA NILIJUA YA MBAGALA BAHATI MBAYA NIKAANDIKA NAHISI SASA NAONA WAZI KAZI IMEKUSHINDA..NA KWA TAARIFA MBAYA HAKUNA HATA KIONGOZI ALIEENDA MAHOSPITALINI SI WAZIRI WA ULINZI WALA MAGENERAL WAKE...............,
HUU NI UPUZI TUSIUKUBALI HATA KIDOGO WATANZANIA NA THIS TIME TUTAANDAMANA KUMPUNGUZIA KAZI HUYU RAIS ASIEJUA MADARAKA YAKE
mi nadhani inabidi jeshi nalo lichunguzwe inawezekana pia kukawa na hujuma kwenye mabomu haya. Mbagala, Gongs, kesho wapi?
20% safemmmmhhhhh inatisha!!!! how safe are we in this country??
nimepata taarifa kwa sms mbili tofauti watu wanahimizwa kuondoka; nilifikili wangeleta vifaru kama Misri watu wahame. ona sasa vikongwe wanavyopata taabu, yote hii kuwa na viongozi vichwa maji; raana ya JK, hebu hayo mawili mazito yakosee njia yakatue pale nyumba nyeupe; taifa libarikiwe
Hivi watu wa child protection mko wapi?? Watoto wametapakaa . Kazi kwenda workshop tu !! Thanx kwa wauguzi, mamedical japo mazngira magumu . Nguvu kazi bdo ni ndogo uwanja wa taifa.
Waondoke kirahisi hivyo!! Mpaka tufe milioni 4 hivi ndio wataona aibu na kuondoka. Hawa sio watu ni sawa na wanyama na wanafikiri haka ni kanchi kao wamepewa na MUNGU.Hivi CCM kama nchi imewashinda si waondoke?
Ungekuwa umeguswa sana saa hizi ungekuwa safarini kuelekea dar kutoa msaadahow wish ningekuwepo dar!!ningefika hapo kuwasaidia watoto na walemavu
Kweli huu ndio wakati wao wa kuonyesha wanajali, maana hata kuna jamaa yangu mpaka sasa hajui watoto wake wawili wako wapi?Hivi watu wa child protection mko wapi?? Watoto wametapakaa . Kazi kwenda workshop tu !! Thanx kwa wauguzi, mamedical japo mazngira magumu . Nguvu kazi bdo ni ndogo uwanja wa taifa.