Ghafla tu Ngara na majimbo mengine yanatetewa yabakie Kagera, sababu ni Kabanga Nickel

Kuna swali la msingi kauliza na hujamjibu..

Kauliza hivii..

Faida ya nickel haiwezi kuonekana mpaka mkoa wa chato uanzishwe?

Itakua vyema kama ukimjibu.
Mkoa wa Chato unatupunguzia safari ya kwenda na kurudi ya kilomita 320 tunapotaka kufuata ofisi za kiserikali Bukoba. Chato ni karibu kuliko Bukoba, naomba umwambie hivyo.
 
Team jiwe wanataka kila yakiibuka madini tutengeneze mkoa, kila akifa rais tutengeneze mkoa, kila muombolezaji aliyeshiba ubwabwa akijiongelesha basi tuchukue maneno yake.

Mwanzo wa mataifa kuvunjika huwa ni huu. Mnaanza kujikuta watu fulani wanataka mkoa, baadae serikali za majimbo, baadae autonomous states na vyombo vya serikali kasoro jeshi, baadae mamlaka kamili.

Ka nchi kadogo kama Tanzania wanalazimisha kawe na mamikoa kibao wakati hapo tunaongeza gharama za uendeshaji wa serikali. Hii nchi ishaunganishwa na barabara mikoa yote na huduma zinapatikana hakuna sababu ya kuvunja vunja maeneo kisa marehemu aliwaza.
Hakuna Taifa litakalovunjika, sana sana kutakuwa na ufanisi unaotokana na ukaribu wa Chato kuliko umbali wa kufika Bukoba.
 
Kuita watu wanyamahanga sio tusi wala kejeli. That time hakuna mtu anajua dunia ina jamii ngapi na races ngapi, neno mnyamahanga lilimaanisha mtu wa mataifa mengine asiyejua Kihaya wala tamaduni zake.

Wewe ukiita mtu Mchina, Mzungu, Myahudi au Msomali nawe ni mshenzi na mkabila kama Wahaya na una dharau watu kwa kuwa sio kabila lako. Does it make sense?
Mnyamahanga ni yule asiyejua kishubi/kihangaza na sio kihaya.
 
Hawa watu ni "mafala" sana. Yani ukiwauliza sababu ya kuunda mkoa mpya wanataja neno Magufuli. Angewaambia sasa wanaume anza kuvaa sidiria hawa wapuuzi wasio na akili wangevaa
Wenyeji wa huko ndio wenye uchungu kuliko waswahili wa humu JF.
 
Hawa jamaa walikuwa na chama chao cha KcU kilikuwa kinanunua kahawa bihamaruma ..ngara ..na karagwe..miaka ya nyuma..pesa zote wakapeleka kujenga swcondary za kisqsa bukoba na mreba..mayokeo yake karagwe wakajitenga kwa kuanzisha kdcu..chato wakaanzisha BCU kwa ajili ya pamba..nagala na biharamuko wakabako kutajirisha bukoba..ndo chanzo cha matatizo..Leo nimeshahangaa watu wanatumia lugha ya ukabila na koo kama njia ya kupinga maendelo ya mkoa wa chato
Wewe Kimla unatuchannya na mwandiko wako. Jamani darasa la Sana muwe mnasoma na ku like tu siyo lazima muandike
 
Hakuna Taifa litakalovunjika, sana sana kutakuwa na ufanisi unaotokana na ukaribu wa Chato kuliko umbali wa kufika Bukoba.
Kufika Bukoba kufanya nini. Kipi watu wa Chato wanakosa watakipata Bukoba?
Na ili wajipatie hicho wanachokosa ni lazima wawe mkoa na kwa kuunganisha maeneo mengine
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Phillipo Bukililo sijaona uhusiano wa nickel na kuanzisha Mkoa wa Chato. Mimi binafsi nilimuona Magufuli kama mtu mkatili na mbinafsi sana ambaye Tanzania hajawahi kutokea.

Akiwa Waziri wa Ujenzi wakati wa B Mkapa alibasidili ramani ya barabara isipite Biharamulo ila ikapita Chato. Alipokuwa Rais ametumia madaraka yake makubwa kupeleka Kijijini kwao Chato miundombinu mikubwa kama Airport, Referral hospital, TRA, CRDB na Mbuga ya Burigi kwa kutumia raslimali za taifa.

Chochote kinachofanyika kuhalalisha UBADHIRIFU wa Magufuli kwa kuifanya Chato kuwa Mkoa nakiita ni UHAYAWANI.

Ile miundombinu inabidi ibakie hivyo hivyo katika ngazi ya wilaya kama ilivyobakia Gbadolite ya Mobutu Seseseko. Tunataka watu wakibisha kuwa tulikuwa na Rais kichaa na mwizi tuwaonyeshe mfano halisi
 
Wewe Kimla unatuchannya na mwandiko wako. Jamani darasa la Sana muwe mnasoma na ku like tu siyo lazima muandike

Sasa mbona na wewe ni yale yale unamcheka mwenzio nini sasa “unatuchannya” “darasa la Sana”
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Jaribu kwanza kuigawa Tabora na Morogoro kwa maana hizo ni kijografia ndo zinahitaji kugawanywa kwa sasa lakini si Kagera.
 
Leo ndio wamekuwa na upendo kwa eneo la mpakani siku zote wakituburuza.

Imefika tamati sasa.
Hujajibu Swali wewe Mfuasi wa Marehemu Dikteta Mwendakuzimu
Faida za Nickel haziwezi kuwa realized Mpaka kuanzisha Mkoa Mpya ?
Any relationship / Dependence ?
 
Hoja yao nyingine ni kwamba hizo wilaya zinazopendekezwa, asilimia kubwa ya wakazi wake ni watu wenye uraia tata, ni watu asilia wa Burundi. Ni kama wanalilia kuwa na nchi,ndaniya nchi.

Haya mambo tusiyatazame juu juu. Oneni yanayotokea kwenye sekta ya uchimbaji mdogo wa madini kutokana na kuwa na Waziri mtusi.
 
Hoja yao nyingine ni kwamba hizo wilaya zinazopendekezwa, asilimia kubwa ya wakazi wake ni watu wenye uraia tata, ni watu asilia wa Burundi. Ni kama wanalilia kuwa na nchi,ndaniya nchi.

Haya mambo tusiyatazame juu juu. Oneni yanayotokea kwenye sekta ya uchimbaji mdogo wa madini kutokana na kuwa na Waziri mtusi.
Mawazo ya kizamani. Obama ni mkenya lakini katawala taifa babe duniani. WAHYA tulieni mkoa wa chato upo waja kwa kasi
 
Hayati John Magufuli alipambana sana Uzalishaji wa mgodi wa Nickel wa Kabanga Nickel uanze uzalishaji akiwa hai. Mipango ya Mungu huwa ina tofauti na ile ya binadamu.
Hakuweza kuishi mpaka kuona haya yanayoendelea hivi sasa. Angeridhika kwa asilimia mia moja. Utoke jasho kuupigania mradi mkubwa wenye maslahi ya kiuchumi halafu ufanikiwe, na wewe usiwe na sababu ya kugongesha glasi za mvinyo na marafiki zako, hiyo haiwezekani.

Lengo la JPM lilikuwa ni uanzishwaji wa Mkoa mpya unaojumuisha Chato na wilaya zote zilizo karibu. Utajiri wa mradi wa Nickel utauhakikishia mkoa huo mapato ya uhakika. Ndio maana hayati akapigana kadri alivyoweza na alipofariki akaacha hatua za mwishoni za ukamilishaji wa uanzishwaji wa mradi.

Kichekesho ni huu upendo 'mpya' unaoonyeshwa na baadhi ya wabunge ya kuwataka watu wa Ngara wasiunge mkono nia ya kuwa na mkoa watakaokuwa na ushawishi na pengine maendeleo ya kweli. Bukoba ni kilomita 320 kutoka Ngara, ni mbali kulinganisha na Chato.


Wanakuja na utetezi wa kihistoria ambao hauna faida yoyote zaidi ya kuendeleza 'status quo' ya siku zote. Wanataka waendelee na kujikweza na kujitukuza kupitia uwepo wa Bukoba kama makao makuu ya Mkoa wa Kagera. Ni mawazo yale yale ya kuendeleza 'ubwenyenye' ule ule wa miaka yote. Ni aina ya mawazo yeny dharau za kikabila ya kutaka ustaarabu ubakie ule ule wa miaka yote.

Miaka imepita kwa kasi na sasa kama taifa tunaitafuta miaka 60 ya Tanzania. Kama ni mtu tayari keshakuwa mtu mzima, hawezi kuishi kwa kukariri akiongozwa na falsafa zile zile za kale. Baadhi ya mikoa inajikuta ikikumbatia umaskini kwa sababu ya wanasiasa kuamini katika utamaduni ule ule wa siku za nyuma, pasipo kukubaliana na mabadiliko yanayokwenda sambamba na ukuaji wa miaka 60 ya Tanzania.

JPM alipambana mpaka mradi wa Nickel umeanza kazi. Mkoa wa Kagera unahitaji changamoto mpya ili uweze kuondokana na kuongozwa na hulka zile zile zisizoyagusa maisha ya mtu mmoja mmoja. Tuondokane na hizi imani potofu za kisiasa zinazodumaza maendeleo ya ukanda ule. Ni wakati wa baadhi ya watu wa Kagera kuanza kufikiria upya uwepo wa mkoa mpya wenye kila sababu za kisasa za uwepo wake.
Magu aliwatenda watu wa ngara bukoba huko hawajasahau..angekuepo angepitisha kimabavu sasa hayupo acha watu wajitutumue alaa
 
Hoja yao nyingine ni kwamba hizo wilaya zinazopendekezwa, asilimia kubwa ya wakazi wake ni watu wenye uraia tata, ni watu asilia wa Burundi. Ni kama wanalilia kuwa na nchi,ndaniya nchi.

Haya mambo tusiyatazame juu juu. Oneni yanayotokea kwenye sekta ya uchimbaji mdogo wa madini kutokana na kuwa na Waziri mtusi.
Mimi kwetu Ngara na ni Mtanzania halisi. Mkoa wa Kagera utakuwa ndani ya mipaka ya Tanzania. Ondoa wasiwasi.
 
Back
Top Bottom