Lagoon
Member
- Jul 8, 2013
- 9
- 4
Kuna siku nikiwa kwenye sita kwa sita na mke wangu gafla nikawa kama nime teguka karibu na haja kubwa nikiwa na ejaculate hapo nikahisi maumivu ila baadae yakapotea nikaendelea na gemu kama kawaida.
Yakaja tokea tena siku moja yakapoa nikaendelea, sasa juzi tena nikiwa na ejaculate ikatokea na hapo hapo sikuweze simamisha tena vizuri mpaka sahivi.
Naomba kujua nitafanya nini nirudia hali yangu ya zamani.
Yakaja tokea tena siku moja yakapoa nikaendelea, sasa juzi tena nikiwa na ejaculate ikatokea na hapo hapo sikuweze simamisha tena vizuri mpaka sahivi.
Naomba kujua nitafanya nini nirudia hali yangu ya zamani.