GF wangu anakatishwa tamaa na watu

Haya mambo ya kusikia kwa mtu,au kumjaza maneno demu wako,inakera sana.Inawezekana wanawaonea donge tu,hawana jipya.Mwambie ukweli gf wako,itakuweka huru.
 
Nampenda na yeye ananipenda. Kinachoniumiza kuna watu wanaonifahamu wanamfeed mambo yangu ambayo hayamvutii. Kuna wengine wanamtajia wasichana niliowahi kuwa nao. Mwingine alifika mbali zaidi na kumwambia mimi nimeoa na kuacha mke. Huwa ananiulizia majina ya hao wasichana na tulikuwa na uhusiano gani! Nilishamwambia kuwa nilikuwa na mahusiano huko nyuma na nimeacha lakini sikumtajia majina yao. Hivi haniamini? Nifanyeje? Naona kama itavunja uhusiano, maana kuna muda huwa nakasirika ila najishusha.

alfu si wanawake tuna hiyo tabia ya kuchokonoa mambo yaliyopita. Ivi kwanini mtu usitulie, ukajiamini na ukaenjoy the moment.
 
Mkuu, mimi nakusaidia kwa kugeuza gazeti, wala sio watu ni mtu anaemfeed na huyo mtu ana vested interest na demu wako na yamkini kabisa demu wako naye anachachawa..........yaani hii nakwambia kwa uzoefu wangu kabisa, haiwezekani mtu baki tu akaanza kumwambia hayo uliyoyatandaza bila kuwa na maslahi nayo..chunguza sana na aghalabu huwa ni yule aliyembikiri au ambaye mahusiano yanaendelea na anaona kuna mambo unamzidi yaani hawezi kucompete na ww, ama badu kanuni ya kale ya wayahudi ilikua ni jino kwa jino na wewe mgeuzie kibao na kuanza kumdadisi hata kama wewe hujasikia..........lakini kwanza nijuze mnaishi wapi maana kuna maeneo na maeneo ambayo dawa yake ni .............
 
raha ya mahusiano mnaanzia pale mlipokutana, ya nyuma yote hampaswa kuyaangalia, kuyasikiliza au kuyaamini incase mkisikia jambo. Mwambie gf wako aache uswahili maana sidhani kama ulimkuta bikra. anaweza kua ana mengi mabaya ndio maana anaji cover kwa kukushutumu, mchunguze utajua.
 
we mwambie uhuni wako wote muweke wazi

unajua P nilianza huu uhayawani nikiwa darasa la tano,nilishawahi kuwa na chicks 20, kuna wengine niliwamombasa, na hg wa home nimemsahau! Aafu nikienda club huwa nabeba wa chap chap. Atanikimbia mkuu na mi nimepanga kumtambulisha kwa dada zangu.
 
unajua P nilianza huu uhayawani nikiwa darasa la tano,nilishawahi kuwa na chicks 20, kuna wengine niliwamombasa, na hg wa home nimemsahau! Aafu nikienda club huwa nabeba wa chap chap. Atanikimbia mkuu na mi nimepanga kumtambulisha kwa dada zangu.
Khaaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom