Get well Soon my love

asante mpendwa

Get well soon ,Jaman kiwatengu anapenda hadi shetani anaogopa
sio kuogopa tu anakimbia kabisa

mkuu napenda kweli kweli!!
asante mpenzi wangu
Get well soon dear
thankx sana wangu mzima wewe

ugua pole dear mungu akupe wepesi katika hili
Amen barikiwa sana kwa maombi yako

Pole mpendwa Mungu akutie nguvu.
nimepokea kwa moyo mmoja naamini nitapona

kupenda nako ni ajira noja nitajiajiri
ajira inayolipa ukipata anayekupenda
 
Last edited by a moderator:
acha tu kaka yangu nasikilizaga mziki sauti ya juu.sijui ndo umeniaribu sikio yaani ngoma ina pulsate kama kuna usaa linauma hadi shingo

pole shansa! punguza noise pollutions bibie! sikio ni kiungo (sio cha mboga! lol) muhimu sana katika maisha!

myself nikiingia saluni kunyolewa nikakuta sauti isiyo rafiki kwa masikio yangu, lazima niibue kaugomvi, lol!

hata kama ni movie naangalia kwenye pc basi volume huwa 15% tu!

ugua pole....
 
Mgonjwa anaendeleaje? Najua atakuwa kaimisi JF ile mby. chondebchonde mwambie atulie apone asije akaanza kugonga like kwenye hii thread wkt bado anagonjweka.

Get well soon
 
asante sana
 
Mgonjwa anaendeleaje? Najua atakuwa kaimisi JF ile mby. chondebchonde mwambie atulie apone asije akaanza kugonga like kwenye hii thread wkt bado anagonjweka.

Get well soon
chukua like hiyoo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…