Tunamuombea,na wewe pia Lady doctor tunakuombea Mungu akupe nguvu ya kuweza kumuhudumia vizuri!Hakika user name (Doctor) yako imebeba uhalisia wa moyo wako na matendo yako!Get well soon Arushaone
Ahsante sana shem, bado naumwa na muda mfupi ujao narudi hospital.
Baba V alileta mapenzi tokea tangu na tangu,yashanipiga sasa sina budi nielewe,siwezi kung'ang'ania wala sio fungu langu,japo ni shida ila nitabaki mwenyewe,ila mpe shukrani kwa kuniumiza Madame B MWAMBIE MI BADO MUTOTO NAUMIZA KIDONDA CHANGU,Namkumbuka baby Nasema kutwa nzima moyo unanidundadunda,ninasaga rhumba,mkimuona mkimuona Baba V Madame B , Nasema
pole sana Arushaone
Arushaone hebu kunywa vitunguu swaumu nilibanwa vichomi usiku mmoja ilinipa nafuu sanaKweli jioni hii najihisi niko poa ila kila usiku ndio nasikia maumivu sanasana ndani ya kwapa la kulia na ni kama vichomi vikali sana. Ahsante kwa sana kwa kujali KOKU.
Kweli jioni hii najihisi niko poa ila kila usiku ndio nasikia maumivu sanasana ndani ya kwapa la kulia na ni kama vichomi vikali sana. Ahsante kwa sana kwa kujali KOKU.
Baba V alileta mapenzi tokea tangu na tangu,yashanipiga sasa sina budi nielewe,siwezi kung'ang'ania wala sio fungu langu,japo ni shida ila nitabaki mwenyewe,ila mpe shukrani kwa kuniumiza Madame B MWAMBIE MI BADO MUTOTO NAUMIZA KIDONDA CHANGU,Namkumbuka baby Nasema kutwa nzima moyo unanidundadunda,ninasaga rhumba,mkimuona mkimuona Baba V Madame B , Nasema
pole sana Arushaone
Pole sana, ukiangalia dawa unazotumia zinasaidia? Au km huoni nafuu kwa nini usirudi hospitali wakapiga hata x ray au wakakubadilishia dawa?
Nilikwenda Seliani Hospital leo, baada ya vipimo wameniambia nimalize dose hii kwanza then ndio niende tena.