Yoyo anatisha, yani kumbe ni bonge la mtu zaidi kile kitambi bwana, inaonekana jamaa ni mtu wa safari na kitimoto.unaizungumziaje weight ya Yo Yo?sikuwahi kuota kama jamaa atakuwa na bode kubwa kiasi kile!lol
tena ukifika tu uagize kitimoto kilo kumi maana watu kama yoyo na nguli kwa nyama hiyo wanatisha.Sikuwepo bana si unajua nilidhani ningewahi toka huku mkoani but nikachelewa
Ila I DO PROMISE next time mtanikuta nishapanga na viti nawasubiria!
unaizungumziaje weight ya Yo Yo?sikuwahi kuota kama jamaa atakuwa na bode kubwa kiasi kile!lol
safari hii mtaacha fanta!mnywe malta
bwana bajaji kidogo inimwage sema tu niko fiti kama best friends zake na nguli. sasa juisi ya pilipili aina ya fanta na korosho zilisababisha nikakosa apetaiti ya kula dina. btw, next time atakaekunywa fanta aseme kabisa ili nije na mikateKale ka button ka senks kamepotea. Ngoja nikutwangie kwa hapa Thanks. By the way bajaji ilifika salama bila pancha kadhaa? Manake mtoto unakula korosha sijapata kuona. Ukiunganisha na ile juisi ya pilipili aina ya fanta!
Ila naomba kuuliza mlipofika mlitambulishanaje sasa? Yaani ulipoingia ulijuaje kuwa pale wamekaa wanaJF?
bwana bajaji kidogo inimwage sema tu niko fiti kama best friends zake na nguli. sasa juisi ya pilipili aina ya fanta na korosho zilisababisha nikakosa apetaiti ya kula dina. btw, next time atakaekunywa fanta aseme kabisa ili nije na mikate
Ila naomba kuuliza mlipofika mlitambulishanaje sasa? Yaani ulipoingia ulijuaje kuwa pale wamekaa wanaJF?
mnanitamanisha mpaka bac, mie nilikuwa narushiwa matukio live na Fidel, i hope mme enjoy vya kutosha.....
point takenmnanitamanisha mpaka bac, mie nilikuwa narushiwa matukio live na Fidel, i hope mme enjoy vya kutosha.....
point taken
natamani vikao hivi vingenikuta wakati sijaoa!
mimi nilipofika nilitamka kwa sauti ARE YOU HE/SHE?nikakuta meza moja wadau wanacheka!
Bwashee naona sasa unaanza kwenda out of the perimeter.