connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
Salaam
Baada ya kufanikiwa kuwaunganisha watu kadhaa na wale wawapendao kwa lengo la kuanzisha familia/kuoana. Sasa tumeanza maandalizi ya Get Together Party itakayofanyika Dar es Salaam, Mwishoni mwa Mwezi June, 2013 (Sehemu mtajulishwa Baadae), kutakuwa na Guest Speakers wa mambo ya Mahusiano, Viongozi wa Dini (Wakristo na Waislam), Wataalam wa AFYA (Madaktari) na LISHE. USIKOSE. KIINGILIO ni 5,000/= kwa ajili ya CHAKULA & VINYWAJI (only soft drinks will be served).
Kuthibitisha ushiriki wako ni-PM. Asante.
Baada ya kufanikiwa kuwaunganisha watu kadhaa na wale wawapendao kwa lengo la kuanzisha familia/kuoana. Sasa tumeanza maandalizi ya Get Together Party itakayofanyika Dar es Salaam, Mwishoni mwa Mwezi June, 2013 (Sehemu mtajulishwa Baadae), kutakuwa na Guest Speakers wa mambo ya Mahusiano, Viongozi wa Dini (Wakristo na Waislam), Wataalam wa AFYA (Madaktari) na LISHE. USIKOSE. KIINGILIO ni 5,000/= kwa ajili ya CHAKULA & VINYWAJI (only soft drinks will be served).
Kuthibitisha ushiriki wako ni-PM. Asante.