Wakati wewe una allergy na 'wachafuchafu' yeye akiwaona anachanganyikiwa!!Matunda na sinia la mihogo mibichi.............
ulipakuwa Mkuu?
Kweli we sokwe mjanja issue ni wese na mfukoni yuko tengeruUliishiwa pesa ya wese mzee? Saa tatu usiku barabara nyeupe kabisa kwenda Tegeta iweje ukalale mabibo?
Iko namna hapa
Mkuu wese bei gani na guest bei gani kwani unataka kusema wese la buku kumi hafiki tegeta maana hapo ni lita 4naushee sema jamaa anaishi kama kenge kokote kambi ilimradi kuwepo na unyevunyevu!!!
Wakati wewe una allergy na 'wachafuchafu' yeye akiwaona anachanganyikiwa!!
Mtu ananunua mihogo yote na machungwa yote,,,,,,,,,,then anaelekea nae mabibo!!!
Pale sinza afrika sana kama unaelekea mwenge toka stand ya africa sana, opposite na kenton high school, kuna gesti bubu pale vyumba vyote huwa vinachukuliwa na akina dada watowao huduma hizo. Najua siku ile pale manzese uliipenda hiyo huduma sasa unataka vijiwe vingineJuzi kati nilikuwa natoka kazini sasa kwa bahati mbaya ka mkweche changu kakaharibika mitaa ya manzese big brother ilikuwa ni mida ya saa kumi na mbili sasa nikakapeleka kwa fundi pale shiughuli ikamalizika kama kwenye saa tatu sasa nikaona uvivu kurudi kwangu tegeta nikaona isiwe tabu ngoja nichukue guest then nitaenda home kesho yake coz ilikuwa jumapili
sasa bwana wakati nachukua chumba kwenye moja ya guest kama unaenda mabibo iko bara barani nilishangaa napokueliwa na madada kama 4 hivi nikajiuliza hawa wote wahudumu? walikuwa wamevaa khanga moja wengine sasa mziki ikawa ni kelele kila saa watu wanaingia na kutoka nilishindwa kulala aisee coz guest zetu nadhani unazijua kukuru kakara za chumba kingine wewe unazisikia sasa nikajiuliza ina maana guest nyingi zina hii huduma??
wenye guest wanajua?
kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kwa sewa wanafanya hayo mambo??
jamani kuna mtu anajua guest nyingine wanaoufanya huu ushenzi tuwaumbue kwa serikali maana ni aibu
Wakati wewe una allergy na 'wachafuchafu' yeye akiwaona anachanganyikiwa!!
Mtu ananunua mihogo yote na machungwa yote,,,,,,,,,,then anaelekea nae mabibo!!!
nimechekaaa sanaaa...dah!!etii wakwambie sihemu nyingine wanapotoaa hizoo udumaa,wee umeshindikanaa mkubwaaa?yanii za mabiboo hazijakutoshaa watakaaa nyinginee na nyingine.unamkeee wewee au bachelor????
Hiyo ilikuwa janja ya kumdanganya WIFE!
Huyu jamaa atakufa vibaya asee.......kwa utaratibu huo.........mbaya sana hiyo!
hapa pameishajeishaje hapa...mbona mi sijaelewa...hawa wadada uliishia wapi nao...!!?:noidea: