Kaka Kapagi
Member
- Sep 27, 2012
- 22
- 6
Gesi nyingine yangunduliwa Mbeya eneo la Isebe, Tukuyu.
Ni liquid Carbon dioxide sawa na ile ya Kyejo, Mwakaleli, uzinduzi wake kufanyika karibuni. Ama kweli ule usemi kuwa kila mahali unapokanyaga Tanzania ni madini tu.
Swali ni kuwa je sasa ni lazima kila madini yanapogunduliwa yachimbwe haraka?
Ni liquid Carbon dioxide sawa na ile ya Kyejo, Mwakaleli, uzinduzi wake kufanyika karibuni. Ama kweli ule usemi kuwa kila mahali unapokanyaga Tanzania ni madini tu.
Swali ni kuwa je sasa ni lazima kila madini yanapogunduliwa yachimbwe haraka?