Mkuu hii LPG(Gesi ya kupikia) haivunwi hapa tanzania. Nayo ina ingizwa kama mafuta ya petrol na diesel!! Hii ya kwetu ni natural gas ambayo japo inaweza tumika kupikia ila sio kwa kuwekwa kwenye mitungi ina bidi wakuunganishie bomba hadi nyumbani kwako ndio uweze kutumia kuna baadhi ya nyumba masaki wanatumia gesi hiyo ya mtwara,