Vizuri, hata hivyo bado bei juu sana ikizingatiwa ges tunavuna wenyewe hapa hapa Tanzania, ilipaswa kwa kg 15 angalau iwe tsh 30,000 na kg 6 tsh 11500.
15 kg =44"500 badala ya 50"000
6kg =18"500 badala ya 21"000
Sijapata taarifa za mihani nao wanashusha ntawaletea
NB
BEI HIIZI N KWA WALE WANAONUNUA MZIGO KUANZIA KESHO
WALE WALIO.NA STOCK YA ZAMANI WANAHIMIZWA.KUANZIA JUL 01 WAWE WAMESHANZA KUUZA BEI ELEKEZI KAMA ILIVYO HAPO JUU
Vizuri, hata hivyo bado bei juu sana ikizingatiwa ges tunavuna wenyewe hapa hapa Tanzania, ilipaswa kwa kg 15 angalau iwe tsh 30,000 na kg 6 tsh 11500.
15 kg =44"500 badala ya 50"000
6kg =18"500 badala ya 21"000
Sijapata taarifa za mihani nao wanashusha ntawaletea
NB
BEI HIIZI N KWA WALE WANAONUNUA MZIGO KUANZIA KESHO
WALE WALIO.NA STOCK YA ZAMANI WANAHIMIZWA.KUANZIA JUL 01 WAWE WAMESHANZA KUUZA BEI ELEKEZI KAMA ILIVYO HAPO JUU