GE2025 Gerson Msigwa: Mengi yanayozungumzwa Mtandaoni hayana ushahidi, wanatumia pages zangu kupata followers

GE2025 Gerson Msigwa: Mengi yanayozungumzwa Mtandaoni hayana ushahidi, wanatumia pages zangu kupata followers

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472
Mtandaoni kuna maoni hasi dhidi ya Serikali au Viongozi wa Serikali, hamuoni kuna kiwango fulani Wananchi hawapendezwi na kinachoendelea?

Gerson Msigwa:
Mengi yanayozungumzwa hayana ushahidi, tatizo hili siyo Tanzania tu, mitandao imekuwa ikitumika vibaya katika Nchi nyingi, sasa hivi kuna AI, kuna watu wanatumia nafasi hiyo kupotosha umma na kuchafua viongozi.

Huu ni wakati wa Uchaguzi watu hao wenye nia hasi wanaona ni wakati sahihi wa kugombanisha Wananchi na Serikali.

Kuna mtu kajificha nje ya nchi anapotosha Watanzania, niwaambie Watanzania msidanganywe na wanaojificha nje ya Nchi na kuandika taarifa potofu, fuatilieni kwenye tovuti rasmi za Serikali kuna taarifa sahihi.

Mtu asizungumze kama ndiye mamlaka, atawapotosha.

Hayo ni mahojiano ya Msemaji Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa alipozungumza na Kituo cha UTV, leo Jumatatu Oktoba 13, 2025.

MSIGWA: WANATUMIA AKAUNTI ZANGU KUPATA FOLLOWERS

Katika ukurasa wako umekuwa ukifunga comments kwa nini?
Msigwa:
Nilifanya utafiti nikagundua kurasa zangu zina wafuatiliaji wengi, nikukusanya zote ni takribani milioni 3 hivi, pia nafuatiliwa na watu wengi makini, wakati huohuo kuna wengine wanatumia ukurasa wangu kufanya siasa.

Kuna watu wengi wanaanzisha akaunti ambazo hazina followers, hivyo wanatumia kurasa zangu ili waongeze followers.

Ukiona nimepost na kuacha ujue nipo na muda wa kufuatilia kinachowekwa kwenye comments , nikiwa sina muda ninafunga koment.

Hata kama kuna uhuru wa maoni, siwezi kuacha watu watukane na watoe ujumbe wa vitisho kwenye pages zangu.
 
Maelekezo Maalum kuhusu tarehe 29 Oktoba.

Siku hiyo kazi ni rahisi sana

Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.

Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu

VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu

Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.

Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.

Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.

Share na mwenzako
 
Anataka ushahidi wa aina gani sasa na wakati mambo yote yako wazi! Wahuni wao wanateka na kupoteza watu wanao wakosoa!
 
Back
Top Bottom