Tulia weweKwa hiyo alikuwa hajui faida ya kulala?
Kuna wakati mtu anaweza kufikiri anamsifia mtu kumbe ana muanika kuwa hakuwa na mipango na hajui kanuni za afya.
Ukikosa kupumzika hata dish lazima licheze, jee ndio maana lilicheza?
Alikua jiwe kwa wajinga wajinga(watanzania).kwa lisu alibumaHuja connect dots tu!!! jiwe alikuwa anawatania ila wao hawamtanii, hata kumkosoa huwezi kama kumtania tu huwezi
all in all,jiwe alikuwa jiwe kweli kweli.
Mwendawazimu huwa halali usiku. Ni mwendo wa kupuyanga mwanzo mwisho.Kwa hiyo alikuwa hajui faida ya kulala?
Kuna wakati mtu anaweza kufikiri anamsifia mtu kumbe ana muanika kuwa hakuwa na mipango na hajui kanuni za afya.
Ukikosa kupumzika hata dish lazima licheze, jee ndio maana lilicheza?
AnakuuaBinadamu yeyote akisikia usingizi analala, mimi sijaona ajabu lolote hapo. Vipi amesemaje kuhusu kama ukimkosoa anakufanyaje! Au hili hajalisema....
Umewapiga na kitu kizito! Aisee!Mwendawazimu huwa halali usiku. Ni mwendo wa kupuyanga mwanzo mwisho.
Sijawai owna Binaadamu yoyote akasikia usingizi,hivi usingizi unausikia au unauhisi!!??Binadamu yeyote akisikia usingizi analala, mimi sijaona ajabu lolote hapo. Vipi amesemaje kuhusu kama ukimkosoa anakufanyaje! Au hili hajalisema....
Binadamu yeyote akisikia usingizi analala, mimi sijaona ajabu lolote hapo. Vipi amesemaje kuhusu kama ukimkosoa anakufanyaje! Au hili hajalisema....
Ndio maana saa nyingine alikuwa anaropoka ropoka bila ya kujua yeye ni rais wa nchi. Masikiniii kumbe alikua halalii
Sasa nimeamini kuwa JPM alikuwa na tatizo la akili. Mtu kukosa usingizi ni dalili mojawapo ya tatizo la kisaikolojia. Sasa mngekuwa mnampa Temesta. Hapo lazima alale. Atake asitake.
Madhambi yake ndo yalikuwa yanamnyima usingizi.
Involuntary action