Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,125
- 16,189
asingepata nafasi ya juu hivi labda angekuwepo zaidiLakini kufuatana na hali ya afya yake, alistahili kupata muda wa kutosha wa kupumzika.
Wasaidizi wake, huku wakijua hali yake ya afya, hili la kutopumzika, hawakustahili kujisifia. Walishindwa kumlinda boss wao.