GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,568
- 108,911
Kwa tunaojua ' Saikolojia ' ya Mheshima Rais hapa pale pakiwa na jambo fulani linalomtatiza na lililoanzishwa na Wapinzani au Wapingaji huwa akipewa nafasi ya Kuongea hutoka kabisa nje ya ' Key ' na kuanza kuwa ' emotional ' au ( Kujaa Upepo ) hali ambayo huwa inamuharibia sana.
Ni vyema kwa Mhusika Mkuu hasa upande wa Mawasiliano hapa namaanisha Gerson Msigwa leo akahakikisha Rais anasoma kile tu alichomuandikia ili kuepusha kumwachia aongee tu mwenyewe na kupelekea muda wake mwingi kuutumia kupiga ' Vijembe ' badala ya kujadili mambo makubwa yenye tija na mafanikio zaidi.
Ajikite tu katika kutuambia malengo ya hizi Ndege na mafanikio yake kwa Tanzania lakini aepuke kuweka mambo mengi ' irrelevant ' katika Uhutubiaji wake kwani kwa sasa ' Saikolojia ' ya Wananchi haipo upande wake 100% hivyo kama akiweka ' Vijembe ' vyake kwa wale ' anaowachukia ' anaweza kujikuta ndiyo anaharibu zaidi.
Kazi yangu ni Kushauri tu na nimeshaifanya hapa.
Kila la kheri
Nawasilisha.
Ni vyema kwa Mhusika Mkuu hasa upande wa Mawasiliano hapa namaanisha Gerson Msigwa leo akahakikisha Rais anasoma kile tu alichomuandikia ili kuepusha kumwachia aongee tu mwenyewe na kupelekea muda wake mwingi kuutumia kupiga ' Vijembe ' badala ya kujadili mambo makubwa yenye tija na mafanikio zaidi.
Ajikite tu katika kutuambia malengo ya hizi Ndege na mafanikio yake kwa Tanzania lakini aepuke kuweka mambo mengi ' irrelevant ' katika Uhutubiaji wake kwani kwa sasa ' Saikolojia ' ya Wananchi haipo upande wake 100% hivyo kama akiweka ' Vijembe ' vyake kwa wale ' anaowachukia ' anaweza kujikuta ndiyo anaharibu zaidi.
Kazi yangu ni Kushauri tu na nimeshaifanya hapa.
Kila la kheri
Nawasilisha.