Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania

nakumbuka kuna wakati kulikuwa na tetesi kwamba hao wajerumani walikuwa wanadai pia fidia ya gharama ya kumhifadhi huyo mjusi! hapo ilibidi serikali ipige kimya na kuwa wanyonge.

hata hivyo naamini ni suala la nchi yetu kushindwa kutumia nafasi ya mjusi kuwa huko ujerumani, mfano serikali inashindwa nini kulink huyo mjusi na sehemu/eneo alilopatikana? watalii wanaweza vutiwa kuja "site" ambayo huyo mjusi alipatikana iwapo promo nzuri ikifanywa.
Hiyo site ipo?
Tungeweza kufanya sehemu ya kivutio pia
 
Kama wajerumani wasingeihamisha hiyo mifupa ya huyo mjusi....leo hii ingekuwepo huko Lindi ?tuna mambo mengi ya kufanya kuwasaidia watu wetu badala ya kung'ang'ania.....mjusiiiiiiiii mjusiiiii!Hayo masalia yangeondoa umasikini wa wananchi wetu kiasi gani?je tumeweza kupahifadh mahali ilipopatikana hayo masalia hadi leo?kama tumeshindwa kuhifadh hilo eneo hayo masalia ya mjusi je?
 
Mabaki ya Mjusi mkubwa kuliko wote au dinasauria yako huko Mjini Berlin, Ujerumani yaligunduliwa wakati wa Ukoloni wa Wajerumani huko Kusini mwa nchi yetu, kwenye nchi iliyokuwa inaitwa Ujerumani ya Afrika Mashariki Wajerumani wakayakusanya, kuyatunza na kuyasafirisha mpaka kwao kwenye kuyaweka kwenye hifadhi!

Leo hii Watanzania tunasema kwamba Mzungu kaiba mjusi wetu na hatunufaishi kiuchumi, hivi hii ni fair kweli kusema Mzungu kaiba mabaki ya Dinasauria?? Ni kwa nini tunasema huyu mjusi ni mali yetu? Ni kwa sababu tu amegunduliwa kwenye ardhi ambayo leo hii tunaiita TZ?
Na je kama wataalamu wa mambo ya kale (Archeologist) wa Ujerumani wasingefanya utafiti na kugundua mabaki ya huyo Mjusi kwa maana nyingine kama wasingekuja TZ leo hii tungekuwa tunaongelea habari za huyo Mjusi?

Sasa ni kwa nini tunataka kudai kitu ambacho hatujakitolea jasho? Ni kama vile tu mabaki ya mtu wa kale huko Olduvai Gorge ambayo yako kwenye jumba la Makumbusho London Uingereza, yaligunduliwa na Mzungu, Je sisi tuna haki ya kuyadai leo hii na kusema kwamba ni yetu?
Tunatumia kigezo gani? Kwanza wakati yanagunduliwa kulikuwa hakuna nchi iitwayo Tanzania, hivyo kwa upande wa Mjusi ina maana aligunduliwa nchi iliyoitwa Ujerumani ya Afrika Mashariki na siyo Tanzania vile vile kwenye Olduvai Gorge!

Kwa nini na sisi kwenye Tanzania yetu leo hii tusifanye tafiti zetu na kugundua wenyewe mabaki ya kale na ya kuyatunza badala ya kudai kazi ambayo Mzungu alifanya tena kwa gharama yake mwenyewe? Au tunataka kusema mambo ya kale yanayaostahili kugunduliwa yamekwisha yote hapa nchini?

Mabaki ya Mjusi mkubwa kwenye Jumba la makumbusho, Berlini!
1464172285266.jpg



Mabaki ya binadamu wa kale ktk Olduvai, jijini London Uingereza!
1920px-Olduvai_stone_chopping_tool.jpg
 
Na wao wakidai walivyoacha mfano reli ya kati na majengo waliyojenga mfano Ikulu itakuwaje ingewaje sijui kama kuna makubaliano na kama yapo terms zake zikoje.
 
Na wao wakidai walivyoacha mfano reli ya kati na majengo waliyojenga mfano Ikulu itakuwaje ingewaje sijui kama kuna makubaliano na kama yapo terms zake zikoje.

Kumbuka mkuu hao jamaa sisi tukiamua kuwadai tunawafilisi kabisaaa.....kwanza walituolea bibi zetu bila ata sumuni ya mahali....walituibia madini yetu....ndugu zetu wachapakazi pia waliwachukua kama watumwa....na mengine mengi....unadhani likiazishwa hili timbwili la madeni na akawepo mtu kama Magufuli mtetezi wa wanyonge awe hakimu watapona hao ngozi nyeupe?
 
Na wao wakidai walivyoacha mfano reli ya kati na majengo waliyojenga mfano Ikulu itakuwaje ingewaje sijui kama kuna makubaliano na kama yapo terms zake zikoje.


Ufaransa anafanya kwenye Makoloni yake, na ndiyo maana unasikia kila siku coup detat huko Ivory coast au sijui Senegal, ukisikia Raisi kapinduliwa Afrika Magharibi ujue aligoma kuilipa Ufaransa kwa kuwapa nchi nyingine access ya mali ghafi zao!
Kumbuka mkuu hao jamaa sisi tukiamua kuwadai tunawafilisi kabisaaa.....kwanza walituolea bibi zetu bila ata sumuni ya mahali....walituibia madini yetu....ndugu zetu wachapakazi pia waliwachukua kama watumwa....na mengine mengi....unadhani likiazishwa hili timbwili la madeni na akawepo mtu kama Magufuli mtetezi wa wanyonge awe hakimu watapona hao ngozi nyeupe?


Unaongelea TZ yetu au unaongelea Afrika kwa ujumla? Kwa maana kama ni nchi yetu ningependa kujua ni Rasilimali gani Wazungu walichukuwa ktk hapa kuanzia na Wajerumani wakifwatiwa na Waingereza, nitajie hizo Rasilimiali walizoiba kama ukipenda!
 
Ufaransa anafanya kwenye Makoloni yake, na ndiyo maana unasikia kila siku coup detat huko Ivory coast au sijui Senegal, ukisikia Raisi kapinduliwa Afrika Magharibi ujue aligoma kuilipa Ufaransa kwa kuwapa nchi nyingine access ya mali ghafi zao!



Unaongelea TZ yetu au unaongelea Afrika kwa ujumla? Kwa maana kama ni nchi yetu ningependa kujua ni Rasilimali gani Wazungu walichukuwa ktk hapa kuanzia na Wajerumani wakifwatiwa na Waingereza, nitajie hizo Rasilimiali walizoiba kama ukipenda!

Mkuu nazungumzia Tanzania na Africa okiwemo.....hawa jamaa walituibia sana...hayo mareli yao na ikulu zilikuwa ni njia za kupitishia malighafi walizo tuibia.
 
Mkuu nazungumzia Tanzania na Africa okiwemo.....hawa jamaa walituibia sana...hayo mareli yao na ikulu zilikuwa ni njia za kupitishia malighafi walizo tuibia.


Tusitumie jazba twende pole pole kama ukipenda na ndiyo maana nikakuuliza kama unaongelea nchi yetu au Afrika kwa ujumla, kwa maana kama unaongelea nchi yetu Wazunngu hawakuchukuwa Rasilimali yoyote kwanza kwa mfano Wajerumani waliwekeza kuliko walivyochukuwa kwa maana miradi kama reli ilipokamilika Vita ya Dunia ilishaanza, Waingereza walivyokuja hawakuwa na interest na nchi yetu hata Waingereza pia waliwekeza klk walivyochukuwa, kwa mfano Waingereza walianzisha Kilimo kikubwa cha Karanga huko Nachingwea wakajenga Reli kuunganisha Nachingwea na Bandari ya Mtwara Reli ambayo Mlm.Nyerere alikuja kuing'oa na kuipeleka kipande cha kuungisha Reli ya Tanga na ya Kati- Ruvu!
 
Wewe. Ningekuzaba vibao kwa kuanzisha maada nyingine ya kisenge kama hii. Kila siku wewe threads zako ni "waafrika" na "weusi" versus "wazungu". You are not only unworthy and unfit of any meaningful intellectual exchange of ideas but a total phoney, attention-horny piece of shit that i would have no hesitation in slapping the crap out of. Get an education, nigga! And most important of all, get a life!
..
 
Tusitumie jazba twende pole pole kama ukipenda na ndiyo maana nikakuuliza kama unaongelea nchi yetu au Afrika kwa ujumla, kwa maana kama unaongelea nchi yetu Wazunngu hawakuchukuwa Rasilimali yoyote kwanza kwa mfano Wajerumani waliwekeza kuliko walivyochukuwa kwa maana miradi kama reli ilipokamilika Vita ya Dunia ilishaanza, Waingereza walivyokuja hawakuwa na interest na nchi yetu hata Waingereza pia waliwekeza klk walivyochukuwa, kwa mfano Waingereza walianzisha Kilimo kikubwa cha Karanga huko Nachingwea wakajenga Reli kuunganisha Nachingwea na Bandari ya Mtwara Reli ambayo Mlm.Nyerere alikuja kuing'oa na kuipeleka kipande cha kuungisha Reli ya Tanga na ya Kati- Ruvu!

Mwalimu wako darasani alikudanganya
 
Tusitumie jazba twende pole pole kama ukipenda na ndiyo maana nikakuuliza kama unaongelea nchi yetu au Afrika kwa ujumla, kwa maana kama unaongelea nchi yetu Wazunngu hawakuchukuwa Rasilimali yoyote kwanza kwa mfano Wajerumani waliwekeza kuliko walivyochukuwa kwa maana miradi kama reli ilipokamilika Vita ya Dunia ilishaanza, Waingereza walivyokuja hawakuwa na interest na nchi yetu hata Waingereza pia waliwekeza klk walivyochukuwa, kwa mfano Waingereza walianzisha Kilimo kikubwa cha Karanga huko Nachingwea wakajenga Reli kuunganisha Nachingwea na Bandari ya Mtwara Reli ambayo Mlm.Nyerere alikuja kuing'oa na kuipeleka kipande cha kuungisha Reli ya Tanga na ya Kati- Ruvu!

Mkuu nakushauri kidogo tafta vitabu vya history ili ujikumbushie why the europian colonize Africa....utapata hayo majibu....na hiyo ilitokea baada ya mkutano wa berin....wakatengeneza kitu kinaitwa scramble and partion of Africa.....malighafi ilikuwa kitu muhimu sana.....hacha hayo ya nachingwea scheme.
 
Mabaki ya Mjusi mkubwa kuliko wote au dinasauria yako huko Mjini Berlin, Ujerumani yaligunduliwa wakati wa Ukoloni wa Wajerumani huko Kusini mwa nchi yetu, kwenye nchi iliyokuwa inaitwa Ujerumani ya Afrika Mashariki Wajerumani wakayakusanya, kuyatunza na kuyasafirisha mpaka kwao kwenye kuyaweka kwenye hifadhi!

Leo hii Watanzania tunasema kwamba Mzungu kaiba mjusi wetu na hatunufaishi kiuchumi, hivi hii ni fair kweli kusema Mzungu kaiba mabaki ya Dinasauria?? Ni kwa nini tunasema huyu mjusi ni mali yetu? Ni kwa sababu tu amegunduliwa kwenye ardhi ambayo leo hii tunaiita TZ?
Na je kama wataalamu wa mambo ya kale (Archeologist) wa Ujerumani wasingefanya utafiti na kugundua mabaki ya huyo Mjusi kwa maana nyingine kama wasingekuja TZ leo hii tungekuwa tunaongelea habari za huyo Mjusi?

Sasa ni kwa nini tunataka kudai kitu ambacho hatujakitolea jasho? Ni kama vile tu mabaki ya mtu wa kale huko Olduvai Gorge ambayo yako kwenye jumba la Makumbusho London Uingereza, yaligunduliwa na Mzungu, Je sisi tuna haki ya kuyadai leo hii na kusema kwamba ni yetu?
Tunatumia kigezo gani? Kwanza wakati yanagunduliwa kulikuwa hakuna nchi iitwayo Tanzania, hivyo kwa upande wa Mjusi ina maana aligunduliwa nchi iliyoitwa Ujerumani ya Afrika Mashariki na siyo Tanzania vile vile kwenye Olduvai Gorge!

Kwa nini na sisi kwenye Tanzania yetu leo hii tusifanye tafiti zetu na kugundua wenyewe mabaki ya kale na ya kuyatunza badala ya kudai kazi ambayo Mzungu alifanya tena kwa gharama yake mwenyewe? Au tunataka kusema mambo ya kale yanayaostahili kugunduliwa yamekwisha yote hapa nchini?

Mabaki ya Mjusi mkubwa kwenye Jumba la makumbusho, Berlini!
1464172285266.jpg



Mabaki ya binadamu wa kale ktk Olduvai, jijini London Uingereza!
1920px-Olduvai_stone_chopping_tool.jpg


Maba


!
!
mjusi sisi wa nini bwana? ingekuwa kuku sawa tungesema tutamla nyama, au angalau mbuzi au ng'ombe. Sasa mjusi sisi wa nini
 
Prof. Chami yupo kazini anazeekea kwenye kuchimba,sijui ameona nini maskini,hata ile nyayo ya kale waligundua wazungu kwenye ardhi yetu!
 
Mkuu nakushauri kidogo tafta vitabu vya history ili ujikumbushie why the europian colonize Africa....utapata hayo majibu....na hiyo ilitokea baada ya mkutano wa berin....wakatengeneza kitu kinaitwa scramble and partion of Africa.....malighafi ilikuwa kitu muhimu sana.....hacha hayo ya nachingwea scheme.


Ndiyo maana nikasema TZ na siyo Afrika, sisi TZ ni special case na Ukoloni TZ ni tofauti na nchi nyingine za Kiafrika, ni kweli kuna nchi nyingi za Kiafrika ambazo rasilimali zake ziliiibiwa na zinaendelea kuibiwa kama Kongo, Zambia, Kenya, Botswana, Nigeria n.k lkn siyo TZ Wazungu hawakuchukua chochote TZ kwanza waliwekeza klk walivyochukua!

Na isitoshe rasilimali kubwa ya TZ imechukuliwa na Mzungu baada ya Uhuru na siyo kabla, madini yetu kama Almasi Williamson Mwadui tulimpa Mzungu baada ya Uhuru hata dhahabu yetu na Rasilimali nyingine tumewapa Wageni baada ya Uhuru na siyo kabla!
 
Back
Top Bottom