German President Arrives in Tanzania For Five-day State Visit

German President Arrives in Tanzania For Five-day State Visit

Hana lolote kaleta sembe na akiondoka ataondoka na pembe za ndovu,deal for deal
 
Rais akienda nje tunalalamika wageni wakija tunalalamika pia Jena lipi sasa?
Ndugu listen, tunalalamika kwa vile huwa hatuambiwi mgeni kaja kwa lipi, kiongozi wa Ujerumani hawezi kuja Africa "kuimarisha mahusiano..." na sababu nyingine za kizushi tunazoambiwa. Wenzetu wanakuja na agenda, haji hapa German leader kutalii talii tu.

Tunataka kujua mikataba anayokuja kutuingiza. Simple as that.
 
Wajerumani wana kesi ya kujibu, iweje wachapishe Euro 60 billion kila wiki kwa miezi sita wakati uchumi wao uko hoi kuwapa masikini wa Ulaya? Wabadili exchange rate ya Euro bana tumechoka kudhulumiwa!
 
naona amekuja kuchukua rasilimali zao wajerumani na zile hirizi zao walizozificha ktk milima ya tanzania iliyo na madini mengi.
 
Wajerumani wana kesi ya kujibu, iweje wachapishe Euro 60 billion kila wiki kwa miezi sita wakati uchumi wao uko hoi kuwapa masikini wa Ulaya? Wabadili exchange rate ya Euro bana tumechoka kudhulumiwa!
what does that got to do with us? Xchange rate ya Euro ni monetary policy ya Europe ambayo ipo kwa manufaa yao wao, huwezi kutegemea nchi nyingine itengeneze monetary policy ya kuku favor wewe!

Tunafanya kila kitu kudidimiza thamani ya shillingi kuanzia gharama za pango mpaka magunia ya Nyanya Kariakoo yanakuwa quoted in dollar currency and then we gonna sit here and wax poetic about foreign monetary policy? Come on.
 
hivi sis hatuna lakufanya...mtu yeyote akitua bongo kutoka ulaya niattention kwa kwenda mbele.. mired carpet kila corner... mijadala lukuki... ndo tumekaa tu tunasubiria wageni waje tupate ya kudiscuss...? mbona huko JKanaenda saaana tu wala hakuna wenye time naye..after all wanazungumzia umaskini na maradhi..sis utajiri na misaada...what a curse?
 
sasa tuwajadili hawa Ujerumani na kujua kaisi gani wanaleta hapa Bongo na kiasi gani wanakiondoa
 
Ndugu listen, tunalalamika kwa vile huwa hatuambiwi mgeni kaja kwa lipi, kiongozi wa Ujerumani hawezi kuja Africa "kuimarisha mahusiano..." na sababu nyingine za kizushi tunazoambiwa. Wenzetu wanakuja na agenda, haji hapa German leader kutalii talii tu.

Tunataka kujua mikataba anayokuja kutuingiza. Simple as that.

Kwa hiyo wewe umeambiwa kaja kuingia mikataba au unakisia tu
 
Wakuu mnaonaje hili swala la Rais wa Ujerumani kutembelea nchi yetu?? JOACHIM GAUCK
 

Attachments

  • 1422911324346.jpg
    1422911324346.jpg
    73.3 KB · Views: 364
Kweli hapa ni Shamba la bibi...bado Jasusi Putin nae aje kuvuna
 
Waache waje tu..naskia Putin na yeye atatia timu miezi michache ijayo..hii gasi itamleta hadi Rais maskin kuliko wote Duniani..
 
Back
Top Bottom