pojore
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 516
- 1,749
FEBIANI BABUYA harufu ya damu tu kuna raia wanakwenda kufa vifo vibaya sana..mkuu thanks a lot! kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo story nayo inazidi kuwa hotie! & more interesting

Unafaa kuwa Josephene humo ndani, unaupiga mwingiShughuli inaanza
Stay put inakujaThe story teller tunasubiri vitu vitu vitu!
Shukrani sana mkuuUnastahili heshima, so far so good

Respect bossSafi sana the story teller![]()
Saivi inakuja bossSafi sana Mkuu[mention]FEBIANI BABUYA [/mention] kazi nzuri mwendelezo lini?
Ujuaji umekuwa mwingi sana, mtu mwenyewe hana familia ameamua kujitokeza hadharani anaendelea kuleta gozi gozi, acha tukae kando tushuhudieHuyu raisi wa bongo anataka kuyakanyaga
Ngoja wamkamue na yeye kakosa kaZi ya kufanya huyoUjuaji umekuwa mwingi sana, mtu mwenyewe hana familia ameamua kujitokeza hadharani anaendelea kuleta gozi gozi, acha tukae kando tushuhudie