ferg
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 1,323
- 1,792
Kwa hiyo The bold unataka kusema hii story umeitunga ww?? Maana sielewi mantiki yakoYericko unanisikitisha sana Mkuu! Unakumbuka kile nilichokwambia kwenye uzi iliopita wa Cooper??? Nilikwambia kwamba nilikuwa nakuheshimu sana bro.. and I mean it! Nilikuwa na heshima sana kwako... Nimesoma kitabu chako cha Ujasusi wa kiuchumi and i loved it! Kichwani nilijenga Picha ya Yericko tofauti sana na huyu ninayemuona humu.! Umejivunjia heshima sana mkuu
Tangu uanze huu utoto unaoufanya, nimekudharau mnoooo! Nimekushusha mnooo! Umepoteza heshima kubwa mno niliyokuwa nakupa.. Na zaidi umenisikitisha sana!
Badilika mkuu. Wewe ni mwandishi, na mwingine nae akiandika watu wakapenda usichukie!! Furahi, mtie moyo.. Huo ndio 'uGreat thinker'